Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,596
- 1,071
Imetokea Usiku, kati ya Njombe na Songea kuamkia jana 16.12.13 ikihusisha Canter ya kukodi.
Maiti na Majeruhi walipelekwa hospitali ya Njombe na Mbeya.
Ni marafiki na Wanandugu wakazi wa Sogwe, Mbeya.
Tumempoteza jamaa yetu tupo msibani.
Maiti na Majeruhi walipelekwa hospitali ya Njombe na Mbeya.
Ni marafiki na Wanandugu wakazi wa Sogwe, Mbeya.
Tumempoteza jamaa yetu tupo msibani.