Ajali Tanzania: Mawazo mbadala kuhusu udhibiti wa ajali Tanzania

Kuwa makini, mwendokasi ni sehemu ndogo sana ya kusababisha ajali, inaonekana wenye magari wanakukera sana. Ajali nyingi za sasa ni sababu ya miundombinu mibovu (barabara) ila kwa kuwa serikali inahusika hawataki kuliona hili. Sababu nyingine ni ubovu wa magari...hapa ndio kuna rushwa ya ukaguzi. Na sababu ya tatu ni rushwa katika upatikanaji wa leseni hapa pia Polisi na TRA wanahusika
Shikamoo" hapo kwenye miundo mbinu "" (kongole mkuu)...kama hiki kipnde cha morogoro road kuanzia chalinze kwenda dar "" ni hatari ..bara bara ina mawimbi mawimbi "" kama kimbunga cha tsunami
 
Sheria za nchi yetu zipo vizuri tu na zimeelekeza kila kitu na hata kanuni za udereva wa kujihami zipo na vitabu vipo.
Vyuo vipo watu hawataki kwenda kusomea udereva wanabaki na lawama kwa jeshi la polisi.
Mtu umepata leseni kulingana na uwezo wako wa kuendesha lakini unataka ujionyeshe barabarani kuwa unaweza kuendesha kwa mbwembwe nyingi na speed kubwa kwa kujidanganya kuwa huna Limit ya speed.
Limit ipo kwenye kwenye alama za barabara.
Ukiona kibao cha speed 100 huruhusiwi kuendesha zaidi ya kiwango hicho. Na kama haujui ni wajibu wako kutafuta elimu Darasani au kuwatafuta Wataalam wa mambo ya uchukuzi au wakaguzi wa magari uwaulize.

Tatizo Watanzania wengi wanadharau mambo mengi na kujifanya kuwa wanajua.
Profesa anajiona yeye hawezi kukaa darasani na kujifunza udereva wa kujihami anaona ni elimu ndogo sana.

Matokeo yake bosi yupo kwenye gari na ana leseni na hua anaendesha gari ya nyumbani lakini anaendeshwa na dereva hovyo barabarani bila kumkemea kuwa anakiuka kanuni za bora za udereva na maadili take.

Wasimamizi wa sheria tutawalaumu bure mana wao wanajutahidi kuadhibu kama kanuni na sheria zinavyowaelekeza.
Elimu inatolewa kabla ya kosa kutendeka lakini ukisha vunja sheria jukumu la wasimamizi wa sheria ni kukuadhibu kwa mujibu wa sheria inayohusika.

Ingekua ni masuala ya kutoa elimu basi watu wangeomba wapekekwe mahakamani ili wakapewe elimu na hakimu.
Watu wanashindwa kutofanutisha kuonya na kutoa elimu.

Elimu inatolewa kwa wajinga na wale wanaotaka kujiendeleza ambao wao wanaelimu Ila wanaamua kusoma zaidi.
Sasa sio kazi ya Askari barabarani kumfundisha dereva alama za barabarani wakati yuko ndani ya gari anaendesha .

Lakini ni jukumu la wasimamizi hao wa sheria kutoa elimu mashuleni na kwa watembea kwa miguu wasiojua sheria na kanuni za usalama barabarani.
Ndio maana Mara nyingi wanafanya hivyo kwa abiria lakini sio kwa madereva.


Ni vizuri madereva hasa wa magari binafsi wakatafuta vitabu vya kanuni za udereva wa kujihami kwa Walimu wa NIT au Veta.
Ni kwa faida ya Taifa na wao wenyewe.
Sioni sababu ya kutegemea huruma ya Askari wakati mtu amevunja sheria kwa makusudi.

Askari tuwalaumu kwa kubambikiza makosa yasiyopo kama vile kumwandikia mtu faini kwa sababu gari INA vumbi. Hapo kama atafanya hivyo basis tumlaumu lakini kwa mwendo kasi kwa kuvuka Taa nyekundu,kutofuata alama za kukataza kupita gari jingine.
Kutozingatia speed ya wastani kwenye makazi ya watu ambayo sheria iko wazi kuwa isizidi 50km/hr. Hapa kwa kweli tusiwalaumu wasimamizi wa sheria.

Mara nyingi madereva wanawashawishi askari kwa kutoa rushwa baada ya kufanya kosa.
Kama huna kosa huwezi kutoa Rushwa kamwe utakua ni ujinga wa kupitiliza.
Kama sina kosa mtu akiniandikia nitakwena mpaka kwa Rais kama IGP hatanisikiliza.

Yani gari yangu taa zinawaka halafu uniandikie faini kuwa haziwaki. Itakua ni balaa la hatari.
Kwenye speed 50 ukitembea 48 nani atakuandikia?

Tukitimiza wajibu wetu kama madereva nadhani tutabaki kwenye suala la miundo mbinu na Ubovu wa gari lakini kwa dereva aliyesoma udereva hawezi kuendesha gari bovu.
Kitu cha kwanza kabisa kufundishwa kwenye udereva ni namna ya dereva kukafua mifumo muhimu ya gari.

Mkuu ni ajabu na kweli kwa Sheria za sasa hivi zenye uvundo wa RUSHWA private vehicle Haina speed limit. Tuyapige Vita haya wanaoyaleta hawana nia njema na sisi.

Wanao yaleta haya wamejificha nyuma ya pazia wanajua RUSHWA sana katika hili. Wanapaswa kujua sasa tumechoka. Hatutaki kufa kwa ajali tunataka kuishi.

Polisi mnatusaliti sana katika hili. Hatudanganyiki tena na malengo yenu tumeyajua.

Hivi Sheria za kibaguzi barabarani mlizitoa wapi?

Mnasoma wapi private vehicle hata 500km/h ni sawa na kuwa nyie na wenzenu wenye bendera hata 50km/h haziwahusu?

Loo! Mnaishngaza Dunia.
 
Sababu kubwa kabisa ya ajari ni barabara!!,
Yaan watanue na kuwa na high way.. Basi Hapo tutapishana na ajari... Na xikiwepo hazitakuwa kwa wingi.
 
Miundombinu ni chanzo kikubwa. Mengine yanafuata.
=Nchi yoyote iliyoendelea wanatumia metro train,underground train,train za umeme safari za mbali.
=nchi zilizoendelea Barabara unakuta 4 kwenda 4 kurudi. Tz mtu akiovertake na kuja upande wako inabidi uingie porini. Tairi ikipasuka huna jinsi utaingia porini.
=barabara mashimo kibao. Ukipishana na magari makubwa inabidi ubane sana pembeni ufinyu wa barabara.
=teknolijia bado. Tz watu wanasafiri usiku kukwepa trafiki. Wenzetu barabara zinaangaliwa na camera. Huwezi kudanganya. Hivyo dereva anakua makini muda wote. Usiku na mchana. Ukivunja sheria unakuta fine nyumbani kwako.
 
Miundombinu ni chanzo kikubwa. Mengine yanafuata.
=Nchi yoyote iliyoendelea wanatumia metro train,underground train,train za umeme safari za mbali.
=nchi zilizoendelea Barabara unakuta 4 kwenda 4 kurudi. Tz mtu akiovertake na kuja upande wako inabidi uingie porini. Tairi ikipasuka huna jinsi utaingia porini.
=barabara mashimo kibao. Ukipishana na magari makubwa inabidi ubane sana pembeni ufinyu wa barabara.
=teknolijia bado. Tz watu wanasafiri usiku kukwepa trafiki. Wenzetu barabara zinaangaliwa na camera. Huwezi kudanganya. Hivyo dereva anakua makini muda wote. Usiku na mchana. Ukivunja sheria unakuta fine nyumbani kwako.
=nchi za wenzetu wapo makini kusimamia sheria. Rushwa ipo kidogo sana.dereva anaweza kunyang'anya leseni asiendeshe kabis a kama makosa yanajirudia.
 
Maelezo yako yana akisi kwa nini pasipo kuwepo limit zilizo wazi tunatembea barabarani kwa kudra tu na tuendelee kusubiria rambirambi.

Haipo barabara au kipande chochote cha barabara popote hapa nchini chanye kupitisha gari yoyote katika mwendo wa kufika 180km/h kama ilivyokuwa hapo kwenye maelezo yako.

Pathetic!

Kwa africa barabara zetu hazikidhi kwenda speed za mwisho. Maz speed za magari. Mfano bmw min van ndogo kama vitz ina max speed 220 hadi 240 km/h. Nilijaribu kuuluza kigari kama hiki unaweza kutembea hiyo sppeed? La kwa bongo barabara hairuhusu ila kwa nchi zilizoendelea unaweza kwenda hiyo speed. Sometimes ni kutumia akili na reasoning. Zipo bmw speed 330 km/hr kwa tz hakuna barabara ya kwenda hiyo speed.
 
Mkuu ni ajabu na kweli kwa Sheria za sasa hivi zenye uvundo wa RUSHWA private vehicle Haina speed limit. Tuyapige Vita haya wanaoyaleta hawana nia njema na sisi.

Wanao yaleta haya wamejificha nyuma ya pazia wanajua RUSHWA sana katika hili. Wanapaswa kujua sasa tumechoka. Hatutaki kufa kwa ajali tunataka kuishi.

Polisi mnatusaliti sana katika hili. Hatudanganyiki tena na malengo yenu tumeyajua.

Hivi Sheria za kibaguzi barabarani mlizitoa wapi?

Mnasoma wapi private vehicle hata 500km/h ni sawa na kuwa nyie na wenzenu wenye bendera hata 50km/h haziwahusu?

Loo! Mnaishngaza Dunia.
Kwanza sijakuelewa unapohusisha rushwa na sheria ya speed limit na ubaguzi wa sheria.
Nimesema tutawalaumu Trafiki bure wakati kazi yao ni kusimamia sheria zilizopo na sio kutunga sheria.

Gari za abiria na gari za mizigo na gari zote zenye uzito wa zaidi ya Tani 3 na nusu ziwe ama za mizigo ,abiria au la zimeelekezwa na sheria kuwa zisizidi 80KM /HR.
Hii ni sheria iliyowekwa na Bunge ambalo lina watu wenye busara ya kitosha na waliozingatia tafiti mbalimbali na mazingira ya barabara zetu.

Wewe kama umewahi kendesha TANKER au Semi Trailer ungejua ni kwa nini hayo magari makubwa yamewekewa speed limit hasa ikitokea jambo la ghafla na dereva akafunga brake.
Magari madogo kama Land Cruiser na Benzi hata kama lipo speed 180 likikutana na jambo la dharura kama dereva analazimika kufunga brake madhara yake sio kama gari kubwa kama basis au Lori.

Hata hivyo magari yote barabarani na madereva wote wanatakiwa kufuata speed signs za barabarani muda wote isipokuwa magari ya viongozi wakati yakiwa yanasindikizwa na king'ora cha polisi kwa ajili ya kutoa tahadhari kwa watumiaji wengine wa barabara.
Kwa hiyo kama kuna alama ya speed 30 km/hr. Hapo hakuna cha basi wala cha private car. Dereva unatakiwa uongee na alama tu.

Kama kuna kibao cha 60km /hr kwenye mteremko au kona hakuna mjadala madereva wote wanapaswa kufuata.
Sasa huo ubaguzi uko wapi?

Speed limit imewekwa kuzingatia utaalam na tafiti zilizofanywa kwa kuangalia uwezekano wa kulimudu gari kubwa au dogo wakati wa dharura. Sio suala la rushwa.
Hata kupata Leseni ya Urubani wa kuendesha ndege za abiria kuna masharti magumu zaidi ya ndege za abiria na hata usimamizi wake ni tofauti lengo hasa ni kulinda abiria wenye lengo la kufika salama. Sio suala la rushwa.

Serikali iko makini haiwezi kutunga sheria za kuhamasisha utoaji wa rushwa.
Ndio maana kuna shule za udereva ili kila dereva asome na kujua kanuni na maadili ya udereva kabla ya kuingia barabarani. Na ajue kuwa anaendesha gari la aina gani na afuate kanuni ili asiangukie kwenye mikono ya sheria.
 
Mwaka jana mwezi wa nane nikiwa njiani kutoka mwz kuja dar nimefika maeneo ya singida nilipitwa na v8 ya polisi kwa mwendo wa risasi kufika mbele nikakuta imepata ajari na ndani yake alikuwemo rto wa pwani, sikushangaa sana nilijua kwa mwendo ule na njia za bongo lazima angebutuka tu!
 
Kwanza sijakuelewa unapohusisha rushwa na sheria ya speed limit na ubaguzi wa sheria.
Nimesema tutawalaumu Trafiki bure wakati kazi yao ni kusimamia sheria zilizopo na sio kutunga sheria.

Gari za abiria na gari za mizigo na gari zote zenye uzito wa zaidi ya Tani 3 na nusu ziwe ama za mizigo ,abiria au la zimeelekezwa na sheria kuwa zisizidi 80KM /HR.
Hii ni sheria iliyowekwa na Bunge ambalo lina watu wenye busara ya kitosha na waliozingatia tafiti mbalimbali na mazingira ya barabara zetu.

Wewe kama umewahi kendesha TANKER au Semi Trailer ungejua ni kwa nini hayo magari makubwa yamewekewa speed limit hasa ikitokea jambo la ghafla na dereva akafunga brake.
Magari madogo kama Land Cruiser na Benzi hata kama lipo speed 180 likikutana na jambo la dharura kama dereva analazimika kufunga brake madhara yake sio kama gari kubwa kama basis au Lori.

Hata hivyo magari yote barabarani na madereva wote wanatakiwa kufuata speed signs za barabarani muda wote isipokuwa magari ya viongozi wakati yakiwa yanasindikizwa na king'ora cha polisi kwa ajili ya kutoa tahadhari kwa watumiaji wengine wa barabara.
Kwa hiyo kama kuna alama ya speed 30 km/hr. Hapo hakuna cha basi wala cha private car. Dereva unatakiwa uongee na alama tu.

Kama kuna kibao cha 60km /hr kwenye mteremko au kona hakuna mjadala madereva wote wanapaswa kufuata.
Sasa huo ubaguzi uko wapi?

Speed limit imewekwa kuzingatia utaalam na tafiti zilizofanywa kwa kuangalia uwezekano wa kulimudu gari kubwa au dogo wakati wa dharura. Sio suala la rushwa.
Hata kupata Leseni ya Urubani wa kuendesha ndege za abiria kuna masharti magumu zaidi ya ndege za abiria na hata usimamizi wake ni tofauti lengo hasa ni kulinda abiria wenye lengo la kufika salama. Sio suala la rushwa.

Serikali iko makini haiwezi kutunga sheria za kuhamasisha utoaji wa rushwa.
Ndio maana kuna shule za udereva ili kila dereva asome na kujua kanuni na maadili ya udereva kabla ya kuingia barabarani. Na ajue kuwa anaendesha gari la aina gani na afuate kanuni ili asiangukie kwenye mikono ya sheria.
 
Mkuu wenye magari hawanikeri. Tafadhari nisome kwa makini. Nina tatizo na RUSHWA. Pana RUSHWA sana penye mwendo kasi na pia zaidi ya 80 per cent ajali kwa takwimu zao polisi sababu za ajali ni mwendokasi.

Sioni ni sahihi kuwepo barabarani magari yasiyokuwa na restriction katika speed. Kwa nini mabasi yawe limited speed lakini si mengine?

Ajali zitaendelea kuwepo kwa sababu kwa human nature restriction kwako ni sawa lakini si kwangu. Ndiyo maana wale wasimamia Sheria hata 50km/h haziwahusu.

Siku sote tukiwa sawa mbele ya Sheria hizi tutakuwa na Sheria muafaka kwa ajili yetu sote na si kwa kundi fulani tu na hapo ndipo utii bila shuruti utawezekana.
Ni siri iliyowazi kua kuna rushwa tena ya wazi wazi inayohusisha madereva na askari wa usalama barabarani, hili jambo hata mtoto mdogo anajua. Angalia wanavyofanyakazi Dar Es Saaam, utashangaa kama taifa tunaelekea wapi. Jinsi wanavyo jipanga, makosa wanayowakamatia watu,, kona wanazokaa na menginge ni mkakati wa wazi kabisa wa kupiga hela na sio kuhakikisha wanasimamia kudhibiti ajali za barabarani, na suala hili hata mamlaka rasmi za kupambana na rushwa zingeenda extra mile kidogo zingegundua hilo kama kweli mamlaka hizo hazilijui!

Dsm kwa logistics zake sio zone ya ajali mbaya na zahatari kutokea kama maeneo mengine ya nchi, lakini ndio kuna makundi makubwa ya askari wa trafiki wakifanya kazi ya kupiga faini au kuchukua hela kwa mtu aliyeendesha kwa speed ya 52kph au aliyewakiwa na taa ya manjano katikati ya junction, maana ukisimama hapo ni kosa, ukienda mbele ni kosa na ukirudi nyuma pia ni kosa na utalazimika kuingia mfukoni kumalizana nao

Ni rai yangu askari wengi zaidi wa usalama barabarani wapelekwe kwenye high ways na maeneo mengine hatarishi na Dsm wabaki wachache wa kuongoza magari hasa nyakati za kwenda na kutoka makazini kwani watatosha kabisa. Wingi wa trafik polisi kwa jiji la Dar haujasidia kuondoa magari mabovu na kinyume chake ndio yanaongezeka sababu wahusika wanafanya kitu kingine kilicho tofauti na maadili yao ya kazi japo ukiuliza utaambiawa ufate sheria maana wao wanatekeleza wajibu wao na wewe usiendeshe gari kwa speed ya 51kph laa sivyo tunakuandikia tu! Ni Dar pekee unawza endesha gari mwaka mzima bila leseni na isiwe kitu
 
Kuwa makini, mwendokasi ni sehemu ndogo sana ya kusababisha ajali, inaonekana wenye magari wanakukera sana. Ajali nyingi za sasa ni sababu ya miundombinu mibovu (barabara) ila kwa kuwa serikali inahusika hawataki kuliona hili. Sababu nyingine ni ubovu wa magari...hapa ndio kuna rushwa ya ukaguzi. Na sababu ya tatu ni rushwa katika upatikanaji wa leseni hapa pia Polisi na TRA wanahusika
100% true.
 
Ni siri iliyowazi kua kuna rushwa tena ya wazi wazi inayohusisha madereva na askari wa usalama barabarani, hili jambo hata mtoto mdogo anajua. Angalia wanavyofanyakazi Dar Es Saaam, utashangaa kama taifa tunaelekea wapi. Jinsi wanavyo jipanga, makosa wanayowakamatia watu,, kona wanazokaa na menginge ni mkakati wa wazi kabisa wa kupiga hela na sio kuhakikisha wanasimamia kudhibiti ajali za barabarani, na suala hili hata mamlaka rasmi za kupambana na rushwa zingeenda extra mile kidogo zingegundua hilo kama kweli mamlaka hizo hazilijui!

Dsm kwa logistics zake sio zone ya ajali mbaya na zahatari kutokea kama maeneo mengine ya nchi, lakini ndio kuna makundi makubwa ya askari wa trafiki wakifanya kazi ya kupiga faini au kuchukua hela kwa mtu aliyeendesha kwa speed ya 52kph au aliyewakiwa na taa ya manjano katikati ya junction, maana ukisimama hapo ni kosa, ukienda mbele ni kosa na ukirudi nyuma pia ni kosa na utalazimika kuingia mfukoni kumalizana nao

Ni rai yangu askari wengi zaidi wa usalama barabarani wapelekwe kwenye high ways na maeneo mengine hatarishi na Dsm wabaki wachache wa kuongoza magari hasa nyakati za kwenda na kutoka makazini kwani watatosha kabisa. Wingi wa trafik polisi kwa jiji la Dar haujasidia kuondoa magari mabovu na kinyume chake ndio yanaongezeka sababu wahusika wanafanya kitu kingine kilicho tofauti na maadili yao ya kazi japo ukiuliza utaambiawa ufate sheria maana wao wanatekeleza wajibu wao na wewe usiendeshe gari kwa speed ya 51kph laa sivyo tunakuandikia tu! Ni Dar pekee unawza endesha gari mwaka mzima bila leseni na isiwe kitu
Umewaza sawasawa lakini kwa kuangalia kuwa Dar es salaam ndio sehemu yenye watumiaji wengi wa Barabara kuliko maeneo mengine yote!!

Dar es salaam kuna misafara mingi ya viongozi wa ndani na nje ya nchi sasa kusema kuwa pawe na askari wachache wa usalama barabarani ni jambo la kutia mashaka tafakuri ya mtu mwenye wazo kama hilo. Dar es salaam kuna traffic light nyingi kuliko maeneo yote ya nchi kwa hiyo ni lazima maeneo kama hayo yawe na askari wengi.

Wingi wa faini zinazoandikwa Dar es salaam zinaonyesha wazi kuwa kuna madereva wengi wazembe , wasiojali na wanaovunja sheria.

Sijaelewa kuwa kama kwa sasa watu wanakamatwa kwa wingi kwa uvunjaji wa sheria jijini Dar es salaam makosa na uvunjaji huo utapungua vipi kwa kupunguza Traffic ambao hata hivyo uwiano wao ni mdogo ukilinganisha na wingi wa magari.
 
Miundombinu itizamwe. Mfano ukitoka Tunduma hadi Mbeya,maeneo ya Mbozi kuna sehemu lami imetengeneza matuta na mifereji. Gari ndogo zinasumbuka sana,pia semis , zinaonekana kuyumba sana pindi inapotokea kuhama upande mmoja kwenda mwingine. Pia barabara ni nyembamba sana.
Hali kadhalika maeneo ya Chalinze, Ruvu nililiona hilo, sina uhakika kama lilirekebishwa. Maeneo mengine utakuta katikati ya Highway kuna punda na mikokoteni.
 
Waziri wa Usafirishaji, sijui ujenzi back then ndio alijenga Barabara sub standard. Hili halisemwi
 
Umewaza sawasawa lakini kwa kuangalia kuwa Dar es salaam ndio sehemu yenye watumiaji wengi wa Barabara kuliko maeneo mengine yote!!

Dar es salaam kuna misafara mingi ya viongozi wa ndani na nje ya nchi sasa kusema kuwa pawe na askari wachache wa usalama barabarani ni jambo la kutia mashaka tafakuri ya mtu mwenye wazo kama hilo. Dar es salaam kuna traffic light nyingi kuliko maeneo yote ya nchi kwa hiyo ni lazima maeneo kama hayo yawe na askari wengi.

Wingi wa faini zinazoandikwa Dar es salaam zinaonyesha wazi kuwa kuna madereva wengi wazembe , wasiojali na wanaovunja sheria.

Sijaelewa kuwa kama kwa sasa watu wanakamatwa kwa wingi kwa uvunjaji wa sheria jijini Dar es salaam makosa na uvunjaji huo utapungua vipi kwa kupunguza Traffic ambao hata hivyo uwiano wao ni mdogo ukilinganisha na wingi wa magari.
Misafara mingi na inayosababisha foleni kwa Dar ni suala linalohitaji mjadala wa pekeyake mkuu.

Uwiano wa askari na wingi wa magari yaliyopo Dar ni jambo ambalo halijaleta tija ya kutosha kwa sababu ya makosa wanayo angalia na kuyatoza faini mara nyingi hayahusiani na yale yakuhakikisha magri mabovu na hatarishi hayapo barabarani, kwa uchache wao kama unavyosema walipaswa ku deal na vyanzo halisi vya ajali kuliko wanavyofanya kazi kwa kuvizia ili mtu afanye kosa hata la bahati mbaya na lisilo htarishi ili hela ipatikane

Kwa Dar taa zikiweza kutumika vizuri na kwa msaada wa sakari wachache wa usalama barabarani, misafara ikiandaliwa utaratibu mwingine na wenye ufanisi basi nguvu kubwa ingepelekwa mikoani ambapo miaka na miaka zinatokea ajali nyingi, mbaya na zinazopoteza maisha ya watu wengi ukilinganisha na Dar.

Nakupa changamoto moja uifanyie utafiti mkuu. Siku askari wa usalama barabarani wa Dar wakiamua kufanya kazi hasaa ya kuongoza magari siku hiyo kunakua hakuna foleni kabisaaa. Sometimes foleni kubwa husababishwa na hayo majukumu mengi ya ukusanyaji mapato waliyonayo
 
Kwanza sijakuelewa unapohusisha rushwa na sheria ya speed limit na ubaguzi wa sheria.
Nimesema tutawalaumu Trafiki bure wakati kazi yao ni kusimamia sheria zilizopo na sio kutunga sheria.

Gari za abiria na gari za mizigo na gari zote zenye uzito wa zaidi ya Tani 3 na nusu ziwe ama za mizigo ,abiria au la zimeelekezwa na sheria kuwa zisizidi 80KM /HR.
Hii ni sheria iliyowekwa na Bunge ambalo lina watu wenye busara ya kitosha na waliozingatia tafiti mbalimbali na mazingira ya barabara zetu.

Wewe kama umewahi kendesha TANKER au Semi Trailer ungejua ni kwa nini hayo magari makubwa yamewekewa speed limit hasa ikitokea jambo la ghafla na dereva akafunga brake.
Magari madogo kama Land Cruiser na Benzi hata kama lipo speed 180 likikutana na jambo la dharura kama dereva analazimika kufunga brake madhara yake sio kama gari kubwa kama basis au Lori.

Hata hivyo magari yote barabarani na madereva wote wanatakiwa kufuata speed signs za barabarani muda wote isipokuwa magari ya viongozi wakati yakiwa yanasindikizwa na king'ora cha polisi kwa ajili ya kutoa tahadhari kwa watumiaji wengine wa barabara.
Kwa hiyo kama kuna alama ya speed 30 km/hr. Hapo hakuna cha basi wala cha private car. Dereva unatakiwa uongee na alama tu.

Kama kuna kibao cha 60km /hr kwenye mteremko au kona hakuna mjadala madereva wote wanapaswa kufuata.
Sasa huo ubaguzi uko wapi?

Speed limit imewekwa kuzingatia utaalam na tafiti zilizofanywa kwa kuangalia uwezekano wa kulimudu gari kubwa au dogo wakati wa dharura. Sio suala la rushwa.
Hata kupata Leseni ya Urubani wa kuendesha ndege za abiria kuna masharti magumu zaidi ya ndege za abiria na hata usimamizi wake ni tofauti lengo hasa ni kulinda abiria wenye lengo la kufika salama. Sio suala la rushwa.

Serikali iko makini haiwezi kutunga sheria za kuhamasisha utoaji wa rushwa.
Ndio maana kuna shule za udereva ili kila dereva asome na kujua kanuni na maadili ya udereva kabla ya kuingia barabarani. Na ajue kuwa anaendesha gari la aina gani na afuate kanuni ili asiangukie kwenye mikono ya sheria.

Mkuu haipo sheria iliyotungwa na bunge inayotaka mabasi, malori zaidi ya tani 3 na nusu kama ulivyosema inayo limit speed yake kwenye 80km/h. Vile vile hakuna sheria ya bunge inayo toa fursa kwa magari mengine yoyote yaliyobakia kuwa ati yana ruksa ya sheria ya kutembea vyovyote bila limit.

Kilichotokea hapa ni matamko tu ya polisi ambayo pia ni kinyume na sheria zinazobebwa na alama za barabarani zilizowekwa na makandarasi na pia TANROADs wao wakajiwekea mabasi na malori speed limit iwe 80km/h. Hii ikiwa ni hata kama kuna sehemu alama za barabarani zinaonesha 100km/h. Hapo hapo wakaendelea na matamko yao yenye kuvunja sheria kuwa magari private yanaweza kwenda speed yoyote hata 500km/h kinyume cha alama zote za barabarani ati kuwa hawa waheshimu 50km/h peke yake.

Cha kushangaza ni hivi hawa wasiokuwa limited kwenye speed, wanatuhakikishia vipi sisi watumiaji wengine wa barabara wakiwamo watembea kwa miguu, pikipiki, mifugo nk,na hata wale kina yakhe tulio kwenye mabasi?

Ninaamini kwa maelezo haya ya awali nimejibu hoja yako ya benz na land cruiser na hizo ulizosema brake za ghafla. Babarani kuna watumiaji wengine. How do we coexist kama kuna vichaa na wenda wazimu na magari yao binafsi wanatembea 180km/h humo humo wakibarikiwa na polisi? Si kuweka maisha yetu sisi rehani kwa tamaa zenu?

Utaona hapa sheria za bunge zinatambua vibao vya barabarani kwa kila mtumia barabara -- hazina ubaguzi. Kwamba palipo na kibao cha 80km/h ni kwa magari yote mabasi, malori, pikipiki na hata magari binafsi. Hali kadhalika katika 50km/h na 100km/h. Tofauti na hapo kwa ubaguzi polisi wamekuja na yao ambayo ni kinyume cha sheria na ni ya kibaguzi au wewe huoni hivyo?

Kwa nini pana rushwa inayopaliliwa kwenye ubaguzi huu?

Mabasi na malori rushwa wanazochukua ni kubwa zaidi. Hawa wala rushwa wamejipanga kupiga bingo kwenye mabasi na malori. Basi moja tu wanakula rushwa ya kutosha magari labda kuzidi hata madogo 100. Mabasi na malori yamewekewa sheria za matamko zisizo rafiki kwa makusudi mazima ili kupalilia rushwa huku private wakipewa incentive ya hakuna limit ili wasihoji kwa niaba ya hawa wanaokamuliwa ili ukamuaji uendelee pasipo na wapigaji kelele kama sisi mitandaoni.

Kwa kukuibia ni kuwa pana polisi wengi tu humu jamii forums. Kwa bandiko hili wote wameingia mitini. Rushwa yake ilivyo hapa walidhani hatuna sababu ya kusema kwani tumepewa incentive ya kutokuwapo na limit barabarani. Inatugharimu maisha lazima tuseme!

Wanajua vyema kuwa sote tungekuwa sawa mbele za sheria, sheria mbovu tungezipigia kelele ingekuwa kuwa na lazima ya maboresho au marekebisho. Hapo wana bank kwenye divide and rule. Wataalaamu hawa wa rushwa kwa matamko ya kibaguzi waliyoyafanya ni sheria wametufanya tudhani kuwa kwa ku limit speed 80km/h kwa mabasi na malori wakituacha sisi huru na speed yoyote tungeamini kuwa wamekuja na mwarobaini wa ajali. Kwa mahesabu yao walijua tutakaa kimya waendelee kupiga pesa ndefu.

Hili la limitless speed ni janga kubwa la kitaifa hatupaswi kulikubali hili.

Tunaingia vipi barabarani wakati pana watu wanaendesha hata 180km/h? Huu ni wendawazimu unaopigiwa chapuo na polisi Tanzania peke yake. Hakuna nchi duniani yenye kitu limitless speed.

Huu ndiyo ule ukweli kuhusu ajali ambao hauongelewi.
 
1. Limitless max speed kwa magari ya binafsi si sheria ya bunge
2. Limited max speed kwa malori na mabasi si sheria ya bunge

Yote mawili hapo juu ni matamko ya polisi waliyoyafanya kuwa sheria.

Kwa kuanzia polisi wazuiwe kuja na matamko na kuyafanya sheria. Wao wasimamie sheria zilizowekwa na Bunge peke yake. Believe me ajali zitapungua mno kwa utaratibu huu. Uzoefu umeonyesha wanapotoa matamko na kuyasimamia wao wenyewe wanakuwa na maslahi yao peke yao. Tumechoka kufa barabarani kwa tamaa zao za pesa.
 
Mkuu haipo sheria iliyotungwa na bunge inayotaka mabasi, malori zaidi ya tani 3 na nusu kama ulivyosema inayo limit speed yake kwenye 80km/h. Vile vile hakuna sheria ya bunge inayo toa fursa kwa magari mengine yoyote yaliyobakia kuwa ati yana ruksa ya sheria ya kutembea vyovyote bila limit.

Kilichotokea hapa ni matamko tu ya polisi ambayo pia ni kinyume na sheria zinazobebwa na alama za barabarani zilizowekwa na makandarasi na pia TANROADs wao wakajiwekea mabasi na malori speed limit iwe 80km/h. Hii ikiwa ni hata kama kuna sehemu alama za barabarani zinaonesha 100km/h. Hapo hapo wakaendelea na matamko yao yenye kuvunja sheria kuwa magari private yanaweza kwenda speed yoyote hata 500km/h kinyume cha alama zote za barabarani ati kuwa hawa waheshimu 50km/h peke yake.

Cha kushangaza ni hivi hawa wasiokuwa limited kwenye speed, wanatuhakikishia vipi sisi watumiaji wengine wa barabara wakiwamo watembea kwa miguu, pikipiki, mifugo nk,na hata wale kina yakhe tulio kwenye mabasi?

Ninaamini kwa maelezo haya ya awali nimejibu hoja yako ya benz na land cruiser na hizo ulizosema brake za ghafla. Babarani kuna watumiaji wengine. How do we coexist kama kuna vichaa na wenda wazimu na magari yao binafsi wanatembea 180km/h humo humo wakibarikiwa na polisi? Si kuweka maisha yetu sisi rehani kwa tamaa zenu?

Utaona hapa sheria za bunge zinatambua vibao vya barabarani kwa kila mtumia barabarani -- hazina ubaguzi. Kwamba palipo na kibao cha 80km/h ni kwa magari yote mabasi, malori, pikipiki na hata magari binafsi. Hali kadhalika katika 50km/h na 100km/h. Tofauti na hapo kwa ubaguzi polisi wamekuja na yao ambayo ni kinyume cha sheria na ni ya kibaguzi au wewe huoni hivyo?

Kwa nini pana rushwa inayopaliliwa kwenye ubaguzi huu?

Mabasi na malori rushwa wanazochukua ni kubwa zaidi. Hawa wala rushwa wamejipanga kupiga bingo kwenye mabasi na malori. Basi moja tu wanakula rushwa ya kutosha magari labda kuzidi hata madogo 100. Mabasi na malori yamewekewa sheria za matamko zisizo rafiki kwa makusudi mazima ili kupalilia rushwa huku private wakipewa incentive ya hakuna limit ili wasihoji kwa niaba ya hawa wanaokamuliwa ili ukamuaji uendelee pasipo na wapigaji kelele kama sisi mitandaoni.

Kwa kukuibia ni kuwa pana polisi wengi tu humu jamii forums. Kwa bandiko hili wote wameingia mitini. Rushwa yake ilivyo hapa walidhani hatuna sababu ya kusema kwani tumepewa incentive ya kutokuwapo na limit barabarani. Inatugharimu maisha lazima tuseme!

Wanajua vyema kuwa sote tungekuwa sawa mbele za sheria, sheria mbovu tungezipigia kelele ingekuwa kuwa na lazima ya maboresho au marekebisho. Hapo wana bank kwenye divide and rule. Wataalaamu hawa wa rushwa kwa matamko ya kibaguzi waliyoyafanya ni sheria wametufanya tudhani kuwa kwa ku limit speed 80km/h kwa mabasi na malori wakituacha sisi huru na speed yoyote tungeamini kuwa wamekuja na mwarobaini wa ajali. Kwa mahesabu yao walijua tutakaa kimya waendelee kupiga pesa ndefu.

Hili la limitless speed ni janga kubwa la kitaifa hatupaswi kulikubali hili.

Tunaingia vipi barabarani wakati pana watu wanaendesha hata 180km/h? Huu ni wendawazimu unaopigiwa chapuo na polisi Tanzania peke yake. Hakuna nchi duniani yenye kitu limitless speed.
Mkuu, umeandika points nzuri sana, una hoja za msingi sana, ila kuna haya
1. Limit less speed sio Tanzania pekee, zipo nchi za SADC, nimekuwa South Africa, Zambia na Uganda, ukiacha maeneo yenye vibao vya speed limit unatembea, kama sipo sahihi naomba niambie kwenye hizo nchi nilizotaja bara bara zao limit ni ipi (na bahati nzuri mtaala wa uderva wa nchi za SADC ni mmoja, unaitwa K50)
2. Ni kweli hilo la speed limit za bara bara zetu inabidi liwepo na ni jukumu la TANROADS/TARURA kuset hizo limit kulingana na viwango vya ubora wa bara bara.

3. Ni kweli Polisi na TANROADS wametengeneza mianya ya Rushwa.
 
Back
Top Bottom