maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,144
- 15,144
Ni kweli mkuu...maana watazunguka kila kona kutafuta dawa ya ajali hazitoisha...kwa sababu zinasababishwa na madereva zaidi kuliko ubovu wa magari...adhabu kali zinaweza kuwatia adabu kiukweliWanavyotofautisha leseni za abiria wanatakiwa pia kutofautisha adhabu. Ukiwa name class C basis ukifanya kiss hukumu take I we Mara mbili Saudi ya dreva wa kawaida. Hawezekani umebeba abiria halafu ufanye kosa huukumiwe sawa na mwenye Vitz.