chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 12,014
- 34,715
Kuna ajali imetokea Shinyanga watu kadhaa wanadaiwa kupoteza uhai.
Taari zaidi zinakuja.
MUNGU tunusuru na hizi harakati za wagombea.
======= Updates ========
Kumetokea ajali kati ya basi la Unique lenye namba za usajili T148 BKK likitokea jijini Mwanza kwenda Tabora kugongana na lori la kampuni la Cocacola katika kijiji cha Ibingo kata ya Samuye Shinyanga.
Watu zaidi ya 10 wamefariki na majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga.
Taari zaidi zinakuja.
MUNGU tunusuru na hizi harakati za wagombea.
======= Updates ========
Kumetokea ajali kati ya basi la Unique lenye namba za usajili T148 BKK likitokea jijini Mwanza kwenda Tabora kugongana na lori la kampuni la Cocacola katika kijiji cha Ibingo kata ya Samuye Shinyanga.
Watu zaidi ya 10 wamefariki na majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga.
Attachments
-
basi1.jpg54.7 KB · Views: 18,420
-
basi2.JPG40.5 KB · Views: 17,899
-
IMG_20150422_192835.jpg53.9 KB · Views: 1,510
-
IMG_20150422_193409.jpg46.4 KB · Views: 15,320
-
IMG_20150422_193413.jpg45.1 KB · Views: 16,465
-
IMG_20150422_193418.jpg53.9 KB · Views: 16,325
-
IMG_20150422_193426.jpg60.1 KB · Views: 16,295