Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,112
Basi la Bright linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Dodoma, limeanguka leo asubuhi nje kidogo ya mji wa Shinyanga, baada ya Dereva wa Basi hilo kujaribu kumkwepa Mwendesha piki piki, na kusababisha gari hilo kugongana na Gari ndogo kisha kupinduka.
Taarifa za awali zinasema Watu wawili wamepoteza maisha papo hapo, na wengine 11 kujeruhiwa huku baadhi yao wakidaiwa kuwa na hali mbaya.
Taarifa za awali zinasema Watu wawili wamepoteza maisha papo hapo, na wengine 11 kujeruhiwa huku baadhi yao wakidaiwa kuwa na hali mbaya.