Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Watu wawili wamefariki dunia baada gari ndogo lenye namba za usajili T 340 DHG kugongana uso kwa uso na Fuso leo majira ya asubuhi Machi 18, 2019 maeneo ya Mdaula mkoa wa Pwani.
Taarifa za chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa gari ndogo kuovertake bila kuangalia usalama mbeleni hivyo kukutana uso kwa uso na kuingia uvunguni mwa Fuso
Waliofariki katika ajali hiyo walikuwa kwenye gari ndogo huku Dereva wa Fuso na mtu mwingine wakikimbizwa katika hospitali ya Chalinze kwa matibabu.
Taarifa za chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa gari ndogo kuovertake bila kuangalia usalama mbeleni hivyo kukutana uso kwa uso na kuingia uvunguni mwa Fuso
Waliofariki katika ajali hiyo walikuwa kwenye gari ndogo huku Dereva wa Fuso na mtu mwingine wakikimbizwa katika hospitali ya Chalinze kwa matibabu.