Jhounne
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 1,093
- 2,522
Mmmh!!! na wewe Ni mshirika?Damu inatumika kidogo sana... Hawaanguki bali chombo hukosa nguvu na kurudi chini... Anguko halisi halizidi mita moja
Mmmh!!! na wewe Ni mshirika?Damu inatumika kidogo sana... Hawaanguki bali chombo hukosa nguvu na kurudi chini... Anguko halisi halizidi mita moja
Ha ha ha ha,...Mtoto mzuri huyo mnashindwaje kumla hapohapo?
Umeongea point ya maana sana hasa para ya kwanzaHivi huyu mchawi umkute mchana kavaa dera utachomoka kweli?? Tunalalamika matatizo ya nguvu za kiume kumbe tuna paramia Michawi tunalala nayo Inatunyoosha..
Sema hapo sjui kesi yke itakuaje na mlalamikaji ni nani na atashtakiwa kwa kosa gani? Siku nyingine ajifunze kufanya service gari lake mambo yakuweka mafuta ya kupima ndo hayoooo...
Sema kanona jamani
HakikaDaaa paja hilo akiliosha vizuri limesimama sana...wanakuaga watamu sana hao
Hii ajali ya kizembe sana, kwanini apite eneo la Kanisa au hawana sheria za usalama wa barabara zao?
special zoneHahaaaaaa Jungle Warrior kwani akipita msikitini mitambo haiathiriwi?
Ulimwengu wa giza una mambo mengi..hiv hawana trafik wao?
Ukimleta Kiranga hapa and co,
Utasikia hakuna kitu kama uchawi.
Mara oooh... prove kama huyu alikuwa akiruka angani.
Yaani hawa jamaa misuli ya shingo imekakamaa kwa ubishi.
Kiranga uko wapi? Njoo huku.
Hachomoki police haiamini katika uchawiKinachonipa wasiwasi ni kuwa wamemuweka nyuma ya defender na imefunikwa ndani ni giza, mbona ndio kama wanampa wayout huyo dada because wachawi na giza ni kama chai na mkate.. anapotea kilaini kabisa!!!!
Wajuvi tunasema hiyoilikuwa ni hitilafu ya kiufundi tu inayotokana na upungufu wa fresh blood kwenye kibuyu na uzito wa ZIGO la kuvunja chaga uliopelekea Ungo kupoteza mwelekeo na kuanguka ardhini..Ila anabahati hakuangukia kwa wahuni wangemvua hizo hirizi af wakamgegeda kwanza
Wajuvi tunasema hiyoilikuwa ni hitilafu ya kiufundi tu inayotokana na upungufu wa fresh blood kwenye kibuyu na uzito wa ZIGO la kuvunja chaga uliopelekea Ungo kupoteza mwelekeo na kuanguka ardhini..Ila anabahati hakuangukia kwa wahuni wangemvua hizo hirizi af wakamgegeda kwanza