Stanley.
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 660
- 298
Wanajamvi wenzangu leo nilikuwa safarini toka songea kuja dsm. Tulipofika kibamba tukakuta kuna ajali ya lori la kampuni ya pepsi barabara imejifunga mpaka sasa hivi saa tisa usiku kasoro dakika kumi ndio askari wameweza kufungua barabara. Kwakweli tumeteseka sana hasa watoto wamelia mpaka wamechoka.