Ajali Morogoro: Gari liliwekewa Mashada ya Maua na abiria waliomboleza ili kukwepa Doria ya Polisi

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,601
6,014
1624357801789.png


Basi linadaiwa kusababisha ajali jana mkoani Morogoro lilibeba mashada ya maua, dereva aliposimamishwa kwa mwendo kasi alidai Wanawahi Msibani

Taarifa za kuaminika kutoka kwa abiria ni kuwa gari hilo halikubeba maiti na abiria wote waligeuka waombolezaji kila gari liliposimamishwa.

Na taarifa za hivi punde kutoka kwa kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro Fortunatus Musilim amesema idadi ya waliofariki dunia imeongezeka kutoka 7 mpaka kufikia 9.

My Take:
Gari ikisafirisha maiti huwa inapewa vibali na kuna nyaraka za kusafiri nazo,JE ZILIHAKIKIWA?, Lakini je Gari yenye maiti inaruhusiwa kukimbia zaidi ya mwendo halali?

Jeshi la polisi msikwepe hili lawama.


====

Watu Tisa wamefariki dunia huku wengine 23 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka katika eneo la Oil Com Manispaa ya Morogoro.
AJALI-MORO-1.jpeg


Ajali hiyo imehusisha magari matatu gari la Abiria Toyota Coster yenye namba za usajiri T686 DUK, iliyokuwa ikitokea Dar es salaam kuelekea Mbeya, Gari ndogo aina ya Crester yanye namba za usajili T563 ASA pamoja na Lori la Mizigo kampuni ya Dangote.
 
Nina uhakika iyo coaster nizile tunazitumia wasafiri wa usiku kwenda mkoani kufata mazao,last week walisema SUMATRA wapo mikese gar ikipita na abiria faini nikuanzia 250,000 kuendelea.

Hii imesababisha madereva kufanya udanganyifu kua wanabeba maiti ili waweze kupita kwenye kizuizi cha sumatra...

Nchi yetu wote jamani,tuijenge pamoja
 
Nina uhakika iyo coaster nizile tunazitumia wasafiri wa usiku kwenda mkoani kufata mazao,last week walisema SUMATRA wapo mikese gar ikipita na abiria faini nikuanzia 250,000 kuendelea.

Hii imesababisha madereva kufanya udanganyifu kua wanabeba maiti ili waweze kupita kwenye kizuizi cha sumatra...

Nchi yetu wote jamani,tuijenge pamoja
Kwahio wasafiri wanajifanya wanaomboleza kilio kumbe janja janja
 
View attachment 1826327
Basi linadaiwa kusababisha ajali jana mkoani Morogoro lilibeba mashada ya maua, dereva aliposimamishwa kwa mwendo kasi alidai anawahisha mwili kwa ajili mazishi.
Taarifa za kuaminika kutoka kwa abiria ni kuwa gari hilo halikubeba maiti na abiria wote waligeuka waombolezaji kila gari liliposimamishwa.
Na taarifa za hivi punde kutoka kwa kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro Fortunatus Musilim amesema idadi ya waliofariki dunia imeongezeka kutoka 7 mpaka kufikia 9.

My Take:
Gari ikisafirisha maiti huwa inapewa vibali na kuna nyaraka za kusafiri nazo,JE ZILIHAKIKIWA?, Lakini je Gari yenye maiti inaruhusiwa kukimbia zaidi ya mwendo halali?.
Jeshi la polisi msikwepe hili lawama.
POLE KWA wafiwa bila kujali nani kasababisha ajali, hakuna anayependa kifo jamani nyie acheni tu, hapo kunatokea wajane, wagane na mayatima, eeh Mungu tusaidie sisi waja wako.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom