Ajali Morogoro: Gari liliwekewa Mashada ya Maua na abiria waliomboleza ili kukwepa Doria ya Polisi

H

Ww ndio taga usiejua tunafahamu SSH ndie rais wa tz na shujaa wetu mpendwa Mh Dr JPM, may his precious soul rest in eternal peace and power, amen🙏) amerudi nyumbani kwa Muumba! Pia tunajua alikuwa mkweli kwetu watz, siyo kama saleout wengine 🤔! Tunaomba sana Mungu mama yetu huyu SSH atafuata nyayo za mtangulizi wake 🙏!
Mwendakuzimu kweli alikuwa mkweli, asubuhi ataropoka maendeleo hayana chama ikifika mchana anageuka na kusema siwezi kupeleka maendeleo majimbo ya upinzani, moto wa milele umuunguze Yule dhalimu
 
Wawekezaji wamerud kwa kasi ya 6G, kule majambaz yametolewa jela, huku wachawi na wao wameruhusiwq kunywa Damu hadharan, ccm mbele kwa mbele
binamu sitaki bhana,
Eeeeh una habari shoga kidawa Hamissa, kapata uteuzi wa ubalozi wa kodi? Nchi ina futuhi hii sijawahi ona khaaaah.
 
View attachment 1826436

Basi linadaiwa kusababisha ajali jana mkoani Morogoro lilibeba mashada ya maua, dereva aliposimamishwa kwa mwendo kasi alidai Wanawahi Msibani

Taarifa za kuaminika kutoka kwa abiria ni kuwa gari hilo halikubeba maiti na abiria wote waligeuka waombolezaji kila gari liliposimamishwa.

Na taarifa za hivi punde kutoka kwa kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro Fortunatus Musilim amesema idadi ya waliofariki dunia imeongezeka kutoka 7 mpaka kufikia 9.

My Take:
Gari ikisafirisha maiti huwa inapewa vibali na kuna nyaraka za kusafiri nazo,JE ZILIHAKIKIWA?, Lakini je Gari yenye maiti inaruhusiwa kukimbia zaidi ya mwendo halali?

Jeshi la polisi msikwepe hili lawama.


====

Watu Tisa wamefariki dunia huku wengine 23 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka katika eneo la Oil Com Manispaa ya Morogoro.
AJALI-MORO-1.jpeg


Ajali hiyo imehusisha magari matatu gari la Abiria Toyota Coster yenye namba za usajiri T686 DUK, iliyokuwa ikitokea Dar es salaam kuelekea Mbeya, Gari ndogo aina ya Crester yanye namba za usajili T563 ASA pamoja na Lori la Mizigo kampuni ya Dangote.
Mimi maoni yangu hizi gari pamoja na IT zingeruhusiwa tu kubeba abiria kihali, zinasaidia sana watu, wafanya biashara wa mbeya na Tunduma na wengine wenye haraka na misiba wanafika kwa wakati, huwezui kusema Bus la abiria 60 lipakie usiku likajza, ukiwa mbeya kuanzia saa 9 mchana abiria wa kuja Dr ni wengi, napia mda huo kutoka Dar kwenda Mbeya pia abiria ni wengi. Hiyo ni fursa kwa vijana wetu kupata fursa kujikinu kwa kipato, wangewapa maelekezo machache na kibali kulipia pesa kidoho mtu apakie awe free njani. Kinaulazima gani gari labda Costa au Hiace imetoka bandarini inakwenda Zambia kupitia Tunduma, iende tupu na abiria wapo? Mnatengeneza mchongo tu kwa polisi. Sasahivi IT zimekus chanzo cha mapati kwa polisi njia nzima ya Dar Mbeya
 
Nina uhakika iyo coaster nizile tunazitumia wasafiri wa usiku kwenda mkoani kufata mazao,last week walisema SUMATRA wapo mikese gar ikipita na abiria faini nikuanzia 250,000 kuendelea.

Hii imesababisha madereva kufanya udanganyifu kua wanabeba maiti ili waweze kupita kwenye kizuizi cha sumatra...

Nchi yetu wote jamani,tuijenge pamoja
Hata hili linahitaji katiba mpya ?
 
View attachment 1826436

Basi linadaiwa kusababisha ajali jana mkoani Morogoro lilibeba mashada ya maua, dereva aliposimamishwa kwa mwendo kasi alidai Wanawahi Msibani

Taarifa za kuaminika kutoka kwa abiria ni kuwa gari hilo halikubeba maiti na abiria wote waligeuka waombolezaji kila gari liliposimamishwa.

Na taarifa za hivi punde kutoka kwa kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro Fortunatus Musilim amesema idadi ya waliofariki dunia imeongezeka kutoka 7 mpaka kufikia 9.

My Take:
Gari ikisafirisha maiti huwa inapewa vibali na kuna nyaraka za kusafiri nazo,JE ZILIHAKIKIWA?, Lakini je Gari yenye maiti inaruhusiwa kukimbia zaidi ya mwendo halali?

Jeshi la polisi msikwepe hili lawama.


====

Watu Tisa wamefariki dunia huku wengine 23 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka katika eneo la Oil Com Manispaa ya Morogoro.
AJALI-MORO-1.jpeg


Ajali hiyo imehusisha magari matatu gari la Abiria Toyota Coster yenye namba za usajiri T686 DUK, iliyokuwa ikitokea Dar es salaam kuelekea Mbeya, Gari ndogo aina ya Crester yanye namba za usajili T563 ASA pamoja na Lori la Mizigo kampuni ya Dangote.
Waweke kibali mtu analipia let say tsh 20,000/ anapakia abiria, kingekua peas zinaingia serekalini na wananchi tunasafiri kwa Raha kwa wakati. Nijuavyo kwa siku hukosi it mpaka 80 zinapakia abiria, wangekua wanalipa kibali 10,000 au 20,000/ kwa mwaja serikali ingekusanya kiasi gani? Na vijana kujipatia ujira halali?
 
Nina uhakika iyo coaster nizile tunazitumia wasafiri wa usiku kwenda mkoani kufata mazao,last week walisema SUMATRA wapo mikese gar ikipita na abiria faini nikuanzia 250,000 kuendelea.

Hii imesababisha madereva kufanya udanganyifu kua wanabeba maiti ili waweze kupita kwenye kizuizi cha sumatra...

Nchi yetu wote jamani,tuijenge pamoja
Exactly,hizo gari zinaitwa "hakuna kulala"Mimi nilishaacha kupanda,maana speed ndogo ni 140km/hr.Siku 1 ilitaka ituue kona za Iyovi (Mikumi kwa mbele) kama unaelekea Iringa.Poleni wafiwa
 
View attachment 1826436

Basi linadaiwa kusababisha ajali jana mkoani Morogoro lilibeba mashada ya maua, dereva aliposimamishwa kwa mwendo kasi alidai Wanawahi Msibani

Taarifa za kuaminika kutoka kwa abiria ni kuwa gari hilo halikubeba maiti na abiria wote waligeuka waombolezaji kila gari liliposimamishwa.

Na taarifa za hivi punde kutoka kwa kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro Fortunatus Musilim amesema idadi ya waliofariki dunia imeongezeka kutoka 7 mpaka kufikia 9.

My Take:
Gari ikisafirisha maiti huwa inapewa vibali na kuna nyaraka za kusafiri nazo,JE ZILIHAKIKIWA?, Lakini je Gari yenye maiti inaruhusiwa kukimbia zaidi ya mwendo halali?

Jeshi la polisi msikwepe hili lawama.


====

Watu Tisa wamefariki dunia huku wengine 23 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka katika eneo la Oil Com Manispaa ya Morogoro.
AJALI-MORO-1.jpeg


Ajali hiyo imehusisha magari matatu gari la Abiria Toyota Coster yenye namba za usajiri T686 DUK, iliyokuwa ikitokea Dar es salaam kuelekea Mbeya, Gari ndogo aina ya Crester yanye namba za usajili T563 ASA pamoja na Lori la Mizigo kampuni ya Dangote.
Gari inayoenda msibani ni lazima ibebe maiti? Hawa walikuwa wanajichuria msiba, wakijiona ni wajanja.
 
Back
Top Bottom