Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,973
Pana msikiti karibu?? Hiyo Oil com ni ya nani?? Tafakari chukua hatuaHapo oil com huwa zinatokea sana ajari, sijui kuna nini hata.
Pana msikiti karibu?? Hiyo Oil com ni ya nani?? Tafakari chukua hatuaHapo oil com huwa zinatokea sana ajari, sijui kuna nini hata.
wewe jamaa bhanaizo coaster zikichanganya kule mbele inanesa nesa utamu-utamu hadi raha,
ikiwa mpya ndio kabisa, ngoma inapiga 0 to 60 in 15 seconds
kwa mbaali ukisikilizia pistons zikilalamika kama uko karib na maeneo ya mbele pale
karaha ni hiyo ajali , poleni sana wafiwa
Hakuna maombi ya aina hiyo mkuu,ukishakufa unabaki wewe na Mungu wako muhimu ni kutenda mema siku zote mkuuWaliofariki tuwaombee kwa Allah wapunguziwe adhabu ya kaburi
Hata siku hizi mvua ainyeshi vizuri sababu hayupo
Jah ndy uchafu gani tena??Yaan hapo sijui pana nini hata, duuuh Jah asaidie kwa kweli.
Takataka weweH
Ww ndio taga usiejua tunafahamu SSH ndie rais wa tz na shujaa wetu mpendwa Mh Dr JPM, may his precious soul rest in eternal peace and power, amen) amerudi nyumbani kwa Muumba! Pia tunajua alikuwa mkweli kwetu watz, siyo kama saleout wengine ! Tunaomba sana Mungu mama yetu huyu SSH atafuata nyayo za mtangulizi wake !