Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,806
- 11,965
Habari Wakuu,
Nimepata taarifa ya ajali maeneo ya Mlimani City ambayo imetokana na lori kuacha njia na kuwazoa wafanyabiashara wanaouza bidhaa mbalimbali nje ya Mall ya Mlimani City.
Taarifa zinaeleza kuwa watu 3 wamefariki pale pale.
Naendelea kufuatilia na nitawajuza hapa.
======
UPDATES:
Watu watatu wamefariki, mmoja amejeruhiwa kufuatia ajali ya lori la mafuta mali ya Kampuni ya Transfuel Logistics Ltd Iringa (T828 DCB) lililokuwa likitokea Ubungo kuelekea Mwenge kupoteza mwelekeo & kugonga Kituo cha Daladala Mlimani City, leo Nov 23. Miili imechukuliwa na polisi
Nimepata taarifa ya ajali maeneo ya Mlimani City ambayo imetokana na lori kuacha njia na kuwazoa wafanyabiashara wanaouza bidhaa mbalimbali nje ya Mall ya Mlimani City.
Taarifa zinaeleza kuwa watu 3 wamefariki pale pale.
Naendelea kufuatilia na nitawajuza hapa.
Jaman kuna ajali hapa Mliman City lorry la Mafuta limewabana watu kweny mtaro ina sikitisha sana. Daaaah Mungu awaepusha na kifo. Watu kama kawaida wamejana, wanataka kuiba mafuta. Polisi wanafanya kazi ya ziada kuwafukuza hawatoki.
======
UPDATES:
Watu watatu wamefariki, mmoja amejeruhiwa kufuatia ajali ya lori la mafuta mali ya Kampuni ya Transfuel Logistics Ltd Iringa (T828 DCB) lililokuwa likitokea Ubungo kuelekea Mwenge kupoteza mwelekeo & kugonga Kituo cha Daladala Mlimani City, leo Nov 23. Miili imechukuliwa na polisi