AJALI: Mkoani Mwanza watu 5 wafariki Dunia

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,395
Screenshot from 2016-06-28 15:01:46.png


Habari wanaJF,

Jijini Mwanza basi la Super Sami limepata ajali iliyotekea huko Mwanza majeruhi ni 15 na waliofariki ni watano wanawake wawili na wanaume watatu na chanzo ni busi kugonga mawe yaliyowekwa na majambazi karibu na daraja hivyo ndipo ilipelekea kupata ajali na kusababisha hayo maafa ya watu watano kupoteza maisha na majeruhi kumi na tano

Hii ndio taarifa kamili toka kwa RTO Mwanza



 
ndo ilikua inaenda dar au kuja Mwanza?iligonga mawe KVP?iliacha njia au?
 
Polisi wetu ni baada ya tukio ndio wanafanya kazi badala ya kuzuia tukio.
 
Mwanza maeneo gani? saa ngapi? Basi lilikuwa linasafiri kuelekea wapi? Mwenye majibu tafadhali anijibu.
 
Ni kweli basi limepitishwa hapa mabatini linavutwa limeharibika zaidi upande wa mbele kushoto kurudi nyuma
 
Una maana baada bus kuparamia mawe mnayodai yaliwekwa na majambazi, hao majambalika walijitokeza kutekeleza ujambazi wao?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom