Ajali Mikese. Basi la Kimbinyiko na gari ndogo yagongana uso kwa uso

Godee jr

JF-Expert Member
Apr 17, 2012
1,780
2,370
Nimekuta ana mbaya sana. Kimbinyiko imeligongana gari ndogo. Gari ndogo imearibika sana na sidhani kama kwenye gari ndogo amepona mtu. Naona makosa ni ya Basi maana kaifuata gari ndogo upande wake.
Mungu awasaidie. Nimeshindwa kupiga picha maana na Mimi nipo kwa bus
image.jpeg

Ni hatari sanaa, inasemekana dereva wa gari ndogo alikuwa anahama barabara hovyo, pia inasemekana alikuwa anayumba sana ,hivyo ilileta tafsiri alikuwa amelelewa kwa mujibu wa mashuhuda.
Picha hizi hapa,ila ya marehemu sikuweza kuipiga picha kwani nafsi yangu hakunituma kufanyaa hivyo.
c7cd4f02bfae9e7eafa789adc8e6f15a.jpg
0276891412c31215078174ec8935724d.jpg
61c5f7829ea77045789b16945722d085.jpg
 
Mkuu smartphone yako haina camera? Uzi unakosa mvuto
Nimepita na basi mkuu nikashindwa kupiga picha ila najua zitakuja tu maana abiria wa Kimbinyiko walikuwa busy wanazichukua
 
Basi imefuata gari ndogo upande wake (yaani ule wa gari dogo ) + inasemekana dereva wa gari dogo amelewa _ hii inanichanganya, kulikuwa na kitu gani kilichoashiria ulevi?
dereva wa basi ndio kalewa
 
Basi imefuata gari ndogo upande wake (yaani ule wa gari dogo ) + inasemekana dereva wa gari dogo amelewa _ hii inanichanganya, kulikuwa na kitu gani kilichoashiria ulevi?
Dereva gali ndogo alihama akaja kulia ilipo bus, dereva wa bus nae akahama kulia lakini ghafla dereva wa gari ndogo akakurupa na kurudi upande wake yaani kushoto na ndipo akapigwa. Umeelewa sasa mkuu
 
Back
Top Bottom