Wizzo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 723
- 255
gari limeanguka maeneo ya mbuguni madukani aina za DCM T526AAL Lilokua na watu zaidi ya 45.watu wengi wamejeruhiwa ila hakuna aliyekufa mpaka sasa.majeruhi wamepelekwa hospital ya kata ya mbuguni.mashuhuda wanadai sababu ni mwendo kasi na ubovu wa gari lenyewe.ntaatachi picha badae