Bollo Yang
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 440
- 50
Taarifa nilizozipata hivi punde zinasema kwamba kuna ajali mbaya imetokea mchana huu mitaa ya Yombo-Temeke, ambapo dala dala moja imegongwa na Treni.
Idadi ya majeruhi na watu waliopeteza maisha haijathibitishwa...
Idadi ya majeruhi na watu waliopeteza maisha haijathibitishwa...