LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Ajali mbaya imetokea muda huu kati ya basi ya abiria la Ally Bus Service lililokuwa linatoka Bariadi kwenda Mwanza lilipogongana uso kwa uso na lori la mzigo maeneo ya malampaka na kwa bahati nzuri hakuna watu waliopoteza maisha na majeruhi wamepelekwa kwenye hosptal ya Maswa.
Source: Crashwise akiwa eneo la tukio!
Source: Crashwise akiwa eneo la tukio!