Ajali mbaya ya kutisha Iringa asubuhi hii

Mwenyezi Mungu azipokee roho za waja wake! Walikuwa wanaenda kutafuta mkate wa siku kwa ajili yao, familia na wategemezi wao kwa jumla!

Ee Mola tuepushe na ajali hizi zinazochukua roho za viumbe wako kila uchao!
 
Kama umekaa sana nchi za ughaibuni, ukirudi bongo utaogopa kushika gari barabarani. Kwani hawashiki sheria kabisa, Ukipanda daladala ndo kabisa. Siku hizi wamejitahidi kuthibiti mwendo wa mabasi ya abiaria, kwani wakifika kizuio cha polisi barabarani mapema kabla ya muda unaotakiwa watakuwa na matatizo, hilo limesaidia kupunguza mwendo.
ni kweli usemayo,yaani ajali nyingi hapakwetu tanzania ni uzembe wa kijinga wa madereva!yaani unakuta hakuna kuzingatia sheria za barabarani hata kidogo!
 
.
Accidents, and particularly street and highway accidents, do not happen - they are caused. -- Ernest Greenwood
.
 
Ni ajali mbaya sana kwakweli! Mungu azipumzishe roho za marehemu mahali pema peponi, na wafiwa tunawaombea wawe na moyo wa ustahamilivu katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya ndugu zetu
 
kila nafsi itakufa japo atujui huko baada ya kufa lakini tuwaombee sana jamaa nasi tujiombee kabla ya kufa sasa sijui watakuwa na Yesu au Mtume muhamad (s.a.w) hapo kwa MUNGU?
 
wengi wa madereva wa malori ni bangi sana. Ona sasa tumepoteza vijana watatu tena wachapa kazi asubuhi
 
Tatizo ni dreva tax kutokuwa na makini na haraka zake, ndio imekuwa mwisho wa maisha yao hapo!!! Kwa nini huwa hatujifunzi jamani??
 
Hizi picha ni mbaya. kitaaluma hazikupaswa kuwekwa kwenye mtandao kwa sababu si wote wenye moyo wa uvumilivu kuzitazama. Tafadhali tuzingatie miiko ya kitaaluma. Siku nyingine Francis awe makini kuchagua picha zinazofaa. Kitaaluma tunasema hizi picha ni "bad test"
 
inatisha,RIP wote waliokufa-
ukifwatilia kwa makini ajali nyingi nchi hii zinatokea wakati wa ku-overtake,nazani kwenye swala la kuovertake inabid madereva wapewe semina hapo
 
Back
Top Bottom