Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
R.i.p mjeshi
Amekufa kwa ajili yetu Watanzania sote. RIP Kipenzi chetu na Asante
| ||
|
Watanzania lugha yetu inatupa tabu sana, hususan mawasiliano ya umma. Jamii imefikwa na maafa, mtu kafa, mwingine yuko hospitali, wewe unaenda kutoa statement yenye maneno "tunashukuru hakuna madhara yaliyotokea, kila kitu kiko salama"!"Ndani ya hanga hilo kulikuwa na ndege nyingine mbili, lakini hata hivyo tunashukuru hakuna madhara yaliyotokea, kila kitu kiko salama," alisema Kanali Mgawe.
ya MANYARA ILIUA MTU ANAITWA MAYENGA JE WW NI NDUGU ?????
58 years!!!It was supposed to be in Museum house,lol!MiG 21 made in the then USSR in 1954 flying in 2012! Awesome
Huu uzi uwekeni sawa sawia hiyo Jet ilikuwa ina paa au ilikuwa inatua... Majibu Utata Sana haya wewe Myahudi Moshe Dayan na Gama
Huu uzi uwekeni sawa sawia hiyo Jet ilikuwa ina paa au ilikuwa inatua... Majibu Utata Sana haya wewe Myahudi Moshe Dayan na Gama
Huu uzi uwekeni sawa sawia hiyo Jet ilikuwa ina paa au ilikuwa inatua... Majibu Utata Sana haya wewe Myahudi Moshe Dayan na Gama