Duh nimepita hapo dakika chache zilizopita kuna mwili nimeuona ni kama bucha! Sijui ni dereva wa bodaboda au mtembea kwa miguuKuna Ajali mbaya imetokea usiku huu maeneo ya Mwananchi tabata Mi nimepita tu sina taarifa zaidi mwenye taarifa anisaidie plz
Msiyasungizie mapepo.Duuu mapepo yameshavuna damu isiyo na hatia. Hatari sana aisee! Mungu awaweke marehemu mahali walipojichagulia
Msiyasungizie mapepo.
HIGH SPEED KILLS💀☠️
Usiku bwana, kuna ile barabara ipo empty halafu unajisikia tu kukanyaga, end of it mtu kakatiza buuuu..Dar es salaam Usiku Ni Balaa
Kuna uzi humu ndan unatushaur! Kama hatuna sabab ya kutembea usiku ni heli tutulie ndan tu!!
Usiku Ni Balaa!!
AiseeWanauondoa kwa beleshi mateja wa relini wanalia
High speed nalo ni pepo mkuuMsiyasungizie mapepo.
HIGH SPEED KILLS
MATAGASasa hivi ni habari vipisi na umbea wa akina johnthebaptist, @yehodava na Lizaboni