hapo ubungo mataa hao watu wa bodaboda hawapo makini sana, huwa wanasoma upepo wa trafik na wanajifanya wana haraka sana. nilishasema sipandi bodaboda tena, tangia niburuzwe nayo sina hamu.
Nimewahi kushuhudia boda boda akipasuliwa kichwa pale Ubungo na lori kubwa na ubongo wake ulitawanyika umbali mrefu sana. Ilikuwa ni ajali mbaya kuwahi kushuhudia
Hata mgundin kwao wanaposubiri abiria wao huwa nawashangaa sana,wengi shule hamna wala nidhan wala busara,eti wanaulizana kati ya Kinglion na Fekon ipi inakimbia sana,si wakaanza kushindana bhana,m1 akavamia karavati na ndipo akaisoma pindi aliporushwa juu na kufika chin akiwa kiuno hakina ushirikiano na mwili pumbav.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.