LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Katika hali inayoelekea kuwa desturi ya hapa Nchini kwetu ni kwamba ajali mbaya imetokea leo huko Kilombero Mkoani Morogoro na watu wa4 wakapoteza maisha hapo hapo! MUNGU tunusuru na ajali hizi za kutwa!
Na wote wale waliofikwa na msiba MUNGU awajaze nguvu katika kipindi hiki kigumu! Na marehemu wote MUNGU awalaze mahala pema peponi!
Source ni ITV
Na wote wale waliofikwa na msiba MUNGU awajaze nguvu katika kipindi hiki kigumu! Na marehemu wote MUNGU awalaze mahala pema peponi!
Source ni ITV