keizerjohn
Senior Member
- May 12, 2013
- 113
- 13
Nilikuwa natoka mazoezini jioni ya leo, muda Wa saa mbili kamili hivi usiku huu, nilipofika stand kuu ya mbezi nilivuka barabara kuingia stand tokea upande wa pili. Kulikuwa Na foleni ndefu ya Magari yaendayo ktkt ya mji.
Kuna kijana mmoja naye alikuwa anavuka, kumbe Basi la Superfeo kutoka Songea, lilikuwa limetanua kulia kujifanya kuwahi kuliko wengine. Gari la kulia lilimruhusu kijana, alipovuka Gari hilo aliangalia kushoto akaona kweupe, kumbe Basi hilo limetanua kulia, basi kishindo kikubwa kilisikika akatushwa juu Na kutua chini. Tulipomfunua tulishuhudia damu nzito zikibubujika kila upande wa kichwa.
Basi lilifunga breki kisha likaondoka kwa kuendelea kutanua lkn kufika njia panda ya kwenda Kinuerezi likakutana USO kwa uso na magari yanayopandisha mikoani likawa blocked na wasamaria wema wakalizingira.
Mtu katoka Songea Salama km zaidi ya 1000 amebakiza km 20 anatanua hovyo na kuua!
Madereva muwe makini
Kuna kijana mmoja naye alikuwa anavuka, kumbe Basi la Superfeo kutoka Songea, lilikuwa limetanua kulia kujifanya kuwahi kuliko wengine. Gari la kulia lilimruhusu kijana, alipovuka Gari hilo aliangalia kushoto akaona kweupe, kumbe Basi hilo limetanua kulia, basi kishindo kikubwa kilisikika akatushwa juu Na kutua chini. Tulipomfunua tulishuhudia damu nzito zikibubujika kila upande wa kichwa.
Basi lilifunga breki kisha likaondoka kwa kuendelea kutanua lkn kufika njia panda ya kwenda Kinuerezi likakutana USO kwa uso na magari yanayopandisha mikoani likawa blocked na wasamaria wema wakalizingira.
Mtu katoka Songea Salama km zaidi ya 1000 amebakiza km 20 anatanua hovyo na kuua!
Madereva muwe makini