Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wadau kuna ajali mbaya sana likalihusisha basis la allys na daladala eneo LA buhongwa mwanza nimeshuhudia watu 6 wamekufa papohapo
Mida gani hiyo, na hiyo ALLYS ya wapi? Bila kusahau picha kidogo Mkuu
Kaa tulia kidogo, shusha pumzi, kisha elezea taratibu, ni habari ya kusikitisha kwa taifa letu.
Hapo hapo tena? Ni sehemu ya matajiri kuvuna damu au?
Allys ya wapi Mkuu?
sasa hivi kama dakika 10 hakuna msaada paka ss
R.i.p yani katoka tabora kaja kupata ajali hapo buhongwa,few km hadi nyegezi.
Dah! Imegonga nn? R.I.P marehemu wote na majeruhi G.W.S.
wadau kuna ajali mbaya sana likalihusisha basis la allys na daladala eneo LA buhongwa mwanza nimeshuhudia watu 6 wamekufa papohapo