Ajali mbaya mlandizi

Adolph

JF-Expert Member
Sep 26, 2010
895
346
Kumetokea ajali mbaya karibu na eneo alilopata ajali regia mtema ambapo coaster yenye abiria iliyokua inatoka mlandizi kwenda moro imegongana na lori la mafuta.watu watano wamefariki na majeruhi wanakimbizwa tumbi
 
Kumetokea ajali mbaya karibu na eneo alilopata ajali regia mtema ambapo coaster yenye abiria iliyokua inatoka mlandizi kwenda moro imegongana na lori la mafuta.watu watano wamefariki na majeruhi wanakimbizwa tumbi

Wote waliofariki R.I.P
 
Mungu wangu ajali mbona zinatumaliza waTz Mungu tunusuru ktk hili janga jingine
 
Mweeh! Hilo eneo linatakiwa lifanyiwe upanuzi mkubwa kama alivyoshauri padri karugendo kwenye makala yake baada ya kifo cha Mh regia.
 
Kumetokea ajali mbaya karibu na eneo alilopata ajali regia mtema ambapo coaster yenye abiria iliyokua inatoka mlandizi kwenda moro imegongana na lori la mafuta.watu watano wamefariki na majeruhi wanakimbizwa tumbi
:dizzy: Ooooh Adolph poleni sana kwa tukio hilo:dizzy:
 
Kumetokea ajali mbaya karibu na eneo alilopata ajali regia mtema ambapo coaster yenye abiria iliyokua inatoka mlandizi kwenda moro imegongana na lori la mafuta.watu watano wamefariki na majeruhi wanakimbizwa tumbi

Pole kwa kila mwana jamii atakayeguswa na misiba hiyo popote alipo. Mungu ailaze pema miili ya marehemu wote na kuwapa kupona haraka majeruhi wote.
 
Mimi ni mkazi wa mlandizi hilo eneo lami yake ni mbovu ina mabonde pale chini ya kituo cha polisi mpaka ruvu darajani. RIP wote waliotangulia na majerui wote waponywe.
 
Da,,,,,,, pia nilikua nimekaa ndani gafla nikaskia kelele barabarani mida ya saa moja kumbe ajali ya pikipiki wao wameumia tu sana,,,,,, da! Waliopoteza maisha wapumzike kwa amani. Tuwe makini ktk vyombo hivi vya moto. Very dangerous
 
Hilo eneo kuanzia mlandizi hadi chalinze ni baya sana!! Watu wengi wamekufa, watu wanasubiri hadi danida watoe msaada!! Duh sasa sisi watanzania kwa nini tunalipa kodi? Waziri ananunu nyumba $ 410,000!! Hakuna wa kumuuliza katoa wapi? Je barabara itajengeka?
 
Tatizo kubwa bado naliona kwa madereva wetu, coaster dar-moro means anapita barabara hiyo karibia siku zote,anaielewa vzuri ilivo,kwann asichukue tahadhari? anyway madereva wengi including huyo wa tanker pia hawafuati alama za barabarani ambazo nyingiwazo pia zishaondolewa na wauza chuma chakavu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom