naiman64 JF-Expert Member Nov 22, 2013 6,854 5,275 Apr 18, 2015 #2 Mwenye kiatu cha njano inaelekea kazimia maana angalau huyu wa nyuma analia
milioni milioni JF-Expert Member Mar 25, 2013 1,845 1,059 Apr 18, 2015 #4 Alafu chanzo cha ajali barabara mbovu hiyo sehemu tanroads wafanyie marekebisho bila hivyo ajali zitakuwa nyingi.
Alafu chanzo cha ajali barabara mbovu hiyo sehemu tanroads wafanyie marekebisho bila hivyo ajali zitakuwa nyingi.
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,133 16,197 Apr 18, 2015 #5 wazembe hao hawakufunga mikanda