Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,596
- 1,071
Inasemekana lilikuwa linatoka Korogwe likielekea Dar e Salaam.
Limeanguka katika kijiji cha Taula Handeni.
Limeua abiria 12 hapo hapo na majeruhi ni wengi kwa mujibu wa Breaking News ya Radio One.
Poleni sana mliopoteza wapendwa wenu, na majeruhi ugueni pole.
Picha:Vijimambo
Limeanguka katika kijiji cha Taula Handeni.
Limeua abiria 12 hapo hapo na majeruhi ni wengi kwa mujibu wa Breaking News ya Radio One.
Poleni sana mliopoteza wapendwa wenu, na majeruhi ugueni pole.
Picha:Vijimambo