Ohhhh my God,Mungu uturehemu.Wakati wenzetu nchi nyingine wanamalizwa na matetemeko na matsunami.sisi ajali zinatupotezea nguvu kazi.
Poleni watanzania sababu inawezekana ndugu yako ni victim.
Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumuKuna habari kwamba mchana huu katika eneo la kitumbi Mkoani Tanga kumetokea ajali mbaya ikihusisha basi la chatco lililokuwa likitokea Dar pamoja na Fuso, vifo vipo pamoja na majeruhi,tunaendelea kufuatilia zaidi ukweli wake!!