Ajali: Mabasi ya Ngorika na RATCO yamegongana uso kwa uso na kusababisha vifo

Chanzo cha ajali ni gari ndogo ngorika alikua speed akaovateki na driver wa ratco hakuweza kuitoa gafla nae alikua speed na driver wa ratco ni ndugu yangu kabisa hivi navoongea nipo hsptl ya handeni ndo nimefika hali yake si nzuri kakatika mguu mmoja pale pale na mgine umevunjika na hapa.kaingizwa katika chumba cha opparation na kashaongezwa damu chupa mbili ndo tupo hapa tunasubir hatma za mwenyezmungu ila kwa hali alonayo hairizishi hata kidogo
 
Na Overtaking ndio chanzo cha ajali nyingi sana kuliko hiyo speed kali watu wanayosema..

Speed 120km/h ni ya kawaida tu kwa barabara nzuri au dual carriage.Tukianza na hili la barabara tutaepuka ajali nyingi sana ambazo sio accidental km ulivyoandika

kweli speed 120 sio kubwa kabisa ,hapa solution ni dial line basi.
 
nipo hapa eneo la ajali, jamani nasafiri muda huu, tuombeni mungu jamani, niliyoyakuta yanatisha, ivi hizi ajali zitaisha lini?
 
Umesahau Bagamoyo rd mpya pale maeneo ya Lugalo basi la daladala lilitoka upande mmoja wa dual carriage way ikaruka tuta pana la kati (maiden) na kugonga daladala ingine inayoelekea upande tofauti na kuua abiria karibu wote? Tatizo ni madereva kuwa underpaid kwa sababu wenye makampuni mengi ya mabasi na malori ni viongozi
hakuna hayo mambo ccm waache kuiba hela wajenge barabara mbilimbili waache kuiba hela
 
Chanzo cha ajali ni gari ndogo ngorika alikua speed akaovateki na driver wa ratco hakuweza kuitoa gafla nae alikua speed na driver wa ratco ni ndugu yangu kabisa hivi navoongea nipo hsptl ya handeni ndo nimefika hali yake si nzuri kakatika mguu mmoja pale pale na mgine umevunjika na hapa.kaingizwa katika chumba cha opparation na kashaongezwa damu chupa mbili ndo tupo hapa tunasubir hatma za mwenyezmungu ila kwa hali alonayo hairizishi hata kidogo


pole ndugu. Mungu atamsaidia atapona.
 
ww ulikuwepo au ?

nimeshasafiri na ngorika sn...
Naongelea ajali ya leo sio kwamba magari yanakimbia. Unakichwa kigumu sana. Ajali ya leo imesababishwa na mwendo kasi wa ngorika? Wewe kusema inakimbia sana umetoa wapi au umekuruka
 
kuweka barababa mbili zilizotenganishwa na tuta kubwa.....moja upande mmoja na nyingine upande wa pili kama ile ya jangwani kuelekea mjini kwa barabara zoote ndefu...like dar to mbeya and dar to mwanza...ni garama sana lakini bora kufanya hvo mana mihela inaliwa kifisadi kila siku.yakifanyika haya maamuz na barabara zikakamilika trust me ajali zitapungua kwa kias kikubwa sana

Ni wazo zuri sn, tena nimekuwa nikiwazia muda mrefu tu, lkn mbona rwanda barabara zao n nyembamba sana na dereva Wa maroli ya kibongo kule wanaenda lakn hawasababishi ajali huko, au ndo tuseme wakifika huko nidhamu inafuata mkondo

Mbona madeeeeeeere Wa azam bahkresa wako makin barabaran au kunachuo chao
 
sikula pole sana! Hizi ajali, hawa madereva wapumbavu, barabara mbovu, uzembe wa usimamizi wa askari wa usalama barabarani vinazidi kumaliza raia na kuacha yatima na wajana/wagane.
 
Last edited by a moderator:
Nshapoa ndo mipango ya mungu binaadam hujafa hujaumbika inshaalah tuombee kheir tu
 
Pole sana mkuu picha ya ndugu yako tumeiona hapa inaonekana kaumia vibaya mno...

Mungu atamjaalia uzima...

Chanzo cha ajali ni gari ndogo ngorika alikua speed akaovateki na driver wa ratco hakuweza kuitoa gafla nae alikua speed na driver wa ratco ni ndugu yangu kabisa hivi navoongea nipo hsptl ya handeni ndo nimefika hali yake si nzuri kakatika mguu mmoja pale pale na mgine umevunjika na hapa.kaingizwa katika chumba cha opparation na kashaongezwa damu chupa mbili ndo tupo hapa tunasubir hatma za mwenyezmungu ila kwa hali alonayo hairizishi hata kidogo
 
Mimi nadhani vigezo vya pasenger driver viongezwe mabachela na wasiokuwa na familia zinazowategemea wasiajiriwe kuendesha mabasi ya mikoani, wabaki kwenye vipanya vyao tu.

Zamani kulikuwa na mabasi yalikuwa na kigezo hiki katika kuajiri madereva wa mabasi. Kama huna familia unaishia kuendesha malori ya mizigo. Hiki kigezo kilitumika hata kwa gar moshi.

Siku hizi unaona bus inatoka ubungo na kijana mdogo anaendesha uku anaandika sms.
 
Back
Top Bottom