Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,596
- 1,071
Mnara huu / jiwe hili lingeheshimiwa na kutumika kuhamasisha kuelimisha usalama barabarani,
lakini sijui ni TANROADS au Mikoa ya Njombe na Ruvuma zimeutekeleza. Wahanga hawa hawajaenziwa ipasavyo.
Unazua maswali mengi kwa wale waliopoteza wapendwa wao 36 kwenye ajali ya SHABIBY BUS milima ya Lukumburu.
Mbaya zaidi majina yao hayajawekwa kwenye mnara huu uliosongwa na majani na unaochakaa kwa kasi.
lakini sijui ni TANROADS au Mikoa ya Njombe na Ruvuma zimeutekeleza. Wahanga hawa hawajaenziwa ipasavyo.
Unazua maswali mengi kwa wale waliopoteza wapendwa wao 36 kwenye ajali ya SHABIBY BUS milima ya Lukumburu.
Mbaya zaidi majina yao hayajawekwa kwenye mnara huu uliosongwa na majani na unaochakaa kwa kasi.