Hata kwenye Familia ukiwa hauna kitu Usaminiki kwaiyo Muache Mshana jr atambe maana yeye Jamii forum KitamboHuu Uzi wa kibaguzi Sana, Naona kaandikiwa Mshana Jr
Duh leo hiyo? Niko mbali kidogo na hilo eneo mpaka kesho ndio nitakuwa hukoMshana Jr sijui utakuwepo home au ndo uko mabibo yaani Kuna ajali ya gari kabla hujafika picha ya ndege nasikia pia palikuwa na mti umeanguka barabarani Hali hio imesababisha foleni kubwa Sana tuko mlandizi toka saa mbili mpaka Sasa hivi saa sita bado hatujafika kibaha.
HahahaIla Mimi nina kiherehere yaani taarifa anapewa mshana Harafu nareply mimi
Hahahaha.. Mtani hata wewe lohVile anamjua ni with doctor akifikiri aweza roga foleni, wabongo akili zao
HahahahaHata kwenye Familia ukiwa hauna kitu Usaminiki kwaiyo Muache Mshana jr atambe maana yeye Jamii forum Kitambo
Kamtumia Mshana kama alivyom tag hapo juu.Picha ziko wapi za ajali
Sasa mbona unamtaja mshana jr anahusika vipiMshana Jr sijui utakuwepo home au ndo uko mabibo yaani Kuna ajali ya gari kabla hujafika picha ya ndege nasikia pia palikuwa na mti umeanguka barabarani Hali hio imesababisha foleni kubwa Sana tuko mlandizi toka saa mbili mpaka Sasa hivi saa sita bado hatujafika kibaha.
Na sie wapambe pia tupogoKamtumia Mshana kama alivyom tag hapo juu.
Duh..!Kamtumia Mshana kama alivyom tag hapo juu.
Na wewe!!!!!Na sie wapambe pia tupogo