Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,920
- 122,183
Mkuu ajali ya basi kondoo wameingiaje hapo
Kondoa au Kondoo? Bima ipo.
Hiyo wilaya ya kondoo ipo nchi gani??
Typing error wakuu, msameheni.Ni mkoa gani? maana mimi naijua Wilaya ya Kondoa iliyopo Idodomya (Dodoma), hiyo Kondoo ipo Mkoa gani?
Alafu hizi ajali za Moto mbona zimekuwa lukuki, labda kuna haja Askari/Wataalamu wa moto wawepo Barabarani sambamba na Trafiki, huenda wakikagua Bus wakaweza kung'amua viashiria vinavyoweza kusababisha moto na kuzuia majanga. na kuzuAttach filesia.
Habari kamili inajieleza vyema.
Huko kukosea ni katika harakati za kutuhabarisha haraka