Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Basi linalomilikiwa na kampuni ya Sharon Classic lililokuwa linatoka Moshi kuelekea Iringa, limeteketea kwa moto maeneo ya Bicha wilayani Kondoa.
Kwa taarifa za awali na shuhuda wa tukio hilo la ajali anasema abiria wote wametoka salama isipokuwa baadhi mizigo ilivyokuwa kwenye buti imeteketea huku chanzo cha ajali hiyo kikiwa bado hakijafahamika mara moja.
Kwa taarifa za awali na shuhuda wa tukio hilo la ajali anasema abiria wote wametoka salama isipokuwa baadhi mizigo ilivyokuwa kwenye buti imeteketea huku chanzo cha ajali hiyo kikiwa bado hakijafahamika mara moja.