TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,730
- 21,128
Kuna ajali eneo la mto wami upande wa bagamoyo baada ya mzani mbele ya magenge ya yauza matunda.
Ajali hiyo imeusisha basi la Cost line lifanyalo safari zake kati ya Dar -Tanga na gari ndogo aina ya Noah, mwenye taarifa kamili na hii ajali tafadhali weka hapa umma unasubili kwa undani
Ajali hiyo imeusisha basi la Cost line lifanyalo safari zake kati ya Dar -Tanga na gari ndogo aina ya Noah, mwenye taarifa kamili na hii ajali tafadhali weka hapa umma unasubili kwa undani