Katikati ya Bahi na Manyoni ni wapi?Hapa sio katikati ya Bahi - Manyoni? Dereva wa tanker kapona kweli kwa hali hiyo ya gari?
Katikati ya Bahi na Manyoni ni wapi?Hapa sio katikati ya Bahi - Manyoni? Dereva wa tanker kapona kweli kwa hali hiyo ya gari?
Umeeleza Inavyotakiwa kuwa Sasa Kuna Ilivyo nduguIli ufanye biashara ya malori lazima uwe na lori kuanzia tano na kuendelea..
Ili ufanye biashara ya mabasi makubwa lazima uwe nayo matano na kuendelea.
Basi likitembea 1000km likafika safari yake,kesho yake marufuku kutembea barabarani, lifanyiwe checkups na small repairs..
Mabasi yote na malori matairi yanunuliwe kwa authorized dealers walioizinishwa na serikali na tyres za kufungwa ziwe specified.
Gari zote za abiria na mizigo zinazosafiri mikoa tofauti tofauti lazima ziwe na pre-start books ambazo asubuhi dereva lazima acheki..kwa mabasi lazima isainiwe na mafundi wa kampuni husika inapoanzia safari kwa malori isainiwe na fundi wa kampuni mwanzo wa safari na huko njiani ni dereva...
Madereva wote wa malori na mabasi lazima wawe na minimum basic education ya form four..na kuwe na proffesional driving licences kwa madereva wa malori na mabasi tu baada ya kuhitimu na kutest...
Kila mwaka kuwe na licence certification kwa hawa madereva kutestiwa na update licence zao.
Udereva iwe kazi rasmi inayotambulika na serikali kwa madereva kuwa na mikataba, posho, medical insurances, leave kama waajiriwa wengine...
Jeshi la polisi liajili sasa vehicle inspectors well qualified na wawe trained kulingana na mahitaji...na hawa wawe wanafanya road patrol kwa ajili ya random checks kwenye mabus na malori hasa brake sytems, tyres, power trains, engines nk.....hizi ziwe zinafanyika barabarani hasa wakati wa kula mnavamia mnasample gari kadhaa, bus stands kubwa na wakati mwingine kuyaita baadhi ya mabus na malori kwenye Inspecton centers..
Makampuni ya malori na mabus yaanze sasa kuajili well qualified engineers wenye elimu, exposure na uzoefu unaohitajika kwa ajili ya management ya haya magari... Serikali iyakague haya makampuni kwenye ajira zake na watu inaowaajiri pamoja na mishahara kwa watu wao..
Tanroads waanze sasa kufanya road patrol za mara kwa mara pamoja na kuwa temporary road signs incase kuna fault mahala barabarani imetokea, kuwe na quick repair ya pits, mawimbi nk...wawe na link na jeshi la polisi pamoja na watumiaji wa barabara hasa mabus na malori kuwe na online daily breafing kwa mabus yote yanayokuwa barabarani kwa kila eneo kupata daily roads updates...
BILA KUFANYA HAYO TUTAKUWA KILA SIKU TUNAOKOTA MAITI , KUHARIBU BARABARA, KUHARIBU MALI, NA KUENDELEA KUKUZA JAMII MASIKINI.... tuache upumbavu na kuishi kama zama za mawe..
Sijajua exactly location hata mtoa mada hapajui ila kwa kuangalia mazingira nikasema ni maeneo hayo con toka Manyoni to Singida miti kama hiho nichache sana yawezekana ikawa KINTINKU au popoteKatikati ya Bahi na Manyoni ni wapi?
Inasikitisha sana kaka..dah inasikitisha sana, alimchukua mdogo mdogo wake kwa nia njema kama sehemu ya ajira au naye baadaye aje kuwa dereva lakini ndio hivyo Mapenzi ya Mungu hamna namna..
Singida hiyo bro.So tumepoteza mtu mmoja sio?
Ni maeneo gani hapo
Okay maeneo gani au kijiji gani?Singida hiyo bro.
Hmm! Labda kampuni zingine aisee sheria za barabarani zinatumika vilivyo kwa hawa usione hivyo bro, Wanapigwa faini za kufa mtu sabu ni hatari sana kumbuka wanatembea na mabomu roho mkononi. Wenye ligi ni wale wa Transit tu wanaoenda nchi jirani wao hata hawabanwi sana ila local transporters wanabanwa mno. Safari ya Dar to Mwanza tank anaweza tumia siku 2 na nusu njiani kwa kufata sheria kinyume cha hapo traffic wanasubiri wakupe risit tu uchangie pato kwa pesa zako za posho na mshahara, tajiri hata hausiki ani.Siku hizi adi wabeba mafuta wana ligi
Mzee hajanielezea vizuri bado make yuko Dar na inaonekana yuko busy anafatilia na wenzake kujua zaidi sijataka kumhoji zaidi.Okay maeneo gani au kijiji gani?
Umeongea points tupu, matajiri wakisoma hii roho na nafsi zao zitawasuta.Ili ufanye biashara ya malori lazima uwe na lori kuanzia tano na kuendelea..
Ili ufanye biashara ya mabasi makubwa lazima uwe nayo matano na kuendelea.
Basi likitembea 1000km likafika safari yake,kesho yake marufuku kutembea barabarani, lifanyiwe checkups na small repairs..
Mabasi yote na malori matairi yanunuliwe kwa authorized dealers walioizinishwa na serikali na tyres za kufungwa ziwe specified.
Gari zote za abiria na mizigo zinazosafiri mikoa tofauti tofauti lazima ziwe na pre-start books ambazo asubuhi dereva lazima acheki..kwa mabasi lazima isainiwe na mafundi wa kampuni husika inapoanzia safari kwa malori isainiwe na fundi wa kampuni mwanzo wa safari na huko njiani ni dereva...
Madereva wote wa malori na mabasi lazima wawe na minimum basic education ya form four..na kuwe na proffesional driving licences kwa madereva wa malori na mabasi tu baada ya kuhitimu na kutest...
Kila mwaka kuwe na licence certification kwa hawa madereva kutestiwa na update licence zao.
Udereva iwe kazi rasmi inayotambulika na serikali kwa madereva kuwa na mikataba, posho, medical insurances, leave kama waajiriwa wengine...
Jeshi la polisi liajili sasa vehicle inspectors well qualified na wawe trained kulingana na mahitaji...na hawa wawe wanafanya road patrol kwa ajili ya random checks kwenye mabus na malori hasa brake sytems, tyres, power trains, engines nk.....hizi ziwe zinafanyika barabarani hasa wakati wa kula mnavamia mnasample gari kadhaa, bus stands kubwa na wakati mwingine kuyaita baadhi ya mabus na malori kwenye Inspecton centers..
Makampuni ya malori na mabus yaanze sasa kuajili well qualified engineers wenye elimu, exposure na uzoefu unaohitajika kwa ajili ya management ya haya magari... Serikali iyakague haya makampuni kwenye ajira zake na watu inaowaajiri pamoja na mishahara kwa watu wao..
Tanroads waanze sasa kufanya road patrol za mara kwa mara pamoja na kuwa temporary road signs incase kuna fault mahala barabarani imetokea, kuwe na quick repair ya pits, mawimbi nk...wawe na link na jeshi la polisi pamoja na watumiaji wa barabara hasa mabus na malori kuwe na online daily breafing kwa mabus yote yanayokuwa barabarani kwa kila eneo kupata daily roads updates...
BILA KUFANYA HAYO TUTAKUWA KILA SIKU TUNAOKOTA MAITI , KUHARIBU BARABARA, KUHARIBU MALI, NA KUENDELEA KUKUZA JAMII MASIKINI.... tuache upumbavu na kuishi kama zama za mawe..