Informer JF-Expert Member Jul 29, 2006 1,582 6,627 Jun 26, 2016 #1 Katika Eneo la Chuo Cha Nelson Mandela Arusha, usiku wa kuamkia leo, Gari dogo la abiria(van) limeligonga trekta kwa nyuma. Mtu mmoja amefariki na kadhaa kujeruhiwa. Matrekta yasiyo na taa yanadaiwa kuwa tatizo kubwa kwa wakazi wa Arusha.
Katika Eneo la Chuo Cha Nelson Mandela Arusha, usiku wa kuamkia leo, Gari dogo la abiria(van) limeligonga trekta kwa nyuma. Mtu mmoja amefariki na kadhaa kujeruhiwa. Matrekta yasiyo na taa yanadaiwa kuwa tatizo kubwa kwa wakazi wa Arusha.
Mapatano Itika JF-Expert Member Jun 16, 2016 254 133 Jun 26, 2016 #2 Ni kweli hii hali ni mbaya sana kwa hizo tractor
Governor of Bettors-GB JF-Expert Member Jul 14, 2013 9,867 8,886 Jun 26, 2016 #4 Hapo utakuta hata Driver leseni hana
F free freed JF-Expert Member Jun 21, 2016 239 139 Jun 26, 2016 #5 Tatizo watu wengi Arusha wakipata pesa haswa vijijini hununua matrekta kwa ajili ya ujasiriamali kilimo. Uliza ubora wa matrekta yenyewe sasa!!!
Tatizo watu wengi Arusha wakipata pesa haswa vijijini hununua matrekta kwa ajili ya ujasiriamali kilimo. Uliza ubora wa matrekta yenyewe sasa!!!
mwanawao JF-Expert Member Aug 18, 2010 3,142 5,634 Jun 26, 2016 #7 So sad. Huwa wanashindwa nini kuwa hata torch kwa ajili ya safety. Mbona wiring ya kuweka taaa ni very cheap. Why wanarisk maisha ya watu namna hiyo. Jamani trafik nao wawe makini kukagua hz trekta maana majanga yanayosababishwa ni mengi mno..
So sad. Huwa wanashindwa nini kuwa hata torch kwa ajili ya safety. Mbona wiring ya kuweka taaa ni very cheap. Why wanarisk maisha ya watu namna hiyo. Jamani trafik nao wawe makini kukagua hz trekta maana majanga yanayosababishwa ni mengi mno..
Edson JF-Expert Member Mar 7, 2009 9,846 5,076 Jun 26, 2016 #8 Maeneo ya kia mpaka maji ya chai ni mengi sana hayo matrekta kipindi hik na % kubwa hayana taa