Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,773
- 3,160
Kumetokea ajali leo Dodoma maeneo ya mirembe kwa gari aina ya Hilux ikiwa inaendeshwa na mwalimu wa cbe dodoma mr Msuta na kugonga treni mwalimu uyo amefariki usiku huu katika hospital ya general dodoma alikokimbizwa kwa matibabu
.I.P mr Msuta
.I.P mr Msuta