Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,100
- 6,022
Nimepigiwa simu na jamaa angu anafanya kazi Wami kadai kuna ajali imetokea, watu ni wengi sana na mtandao umezidiwa,kashindwa kunibrief vizuri, Bus la Simba mtoto na Lori zimegongana uso kwa uso, dereva wa lori amefariki na majeruhi kadhaa
Basi la Simba mtoto na Lori zimegongana uso kwa uso, dereva wa lori ndio amefariki na majeruhi kadhaa.Njia ilijifunga.
==== Updates =====
Basi la Simba mtoto na Lori zimegongana uso kwa uso, dereva wa lori ndio amefariki na majeruhi kadhaa.Njia ilijifunga.