pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
poleni Sana wote wahanga
Alvin,,hakua kwenye ajaliAnaitwa nani ?
Dar.. hizi ajali za hivi hazitokei mtaani kwetu!
Pole yao majeruhi...
Afu hapo hasara ya dereva sio kampuni!
Soda tu wanziangalia itakua mafutaWanaume wa dar tupoje sijui, soda zinagaragara tu hapo mnaziangalia. Kuweni jasiri kama wenzenu wa moro
Jina la mdogo wetu ambaye siku haipokelewiMkuu kwani majina yote ya wajeruhiwa? Jina la nini tena..!
Hakuwa kwenye room ya mwana kweli ?Alvin,,hakua kwenye ajali
Mkuu ni umri tu mvumilie.Kuna kipindi nakuona huna akili, kumbe ni kweli