Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Basi la kampuni ya Ibra Line linalofanya safari zake kati ya Dar es salaam kwenda Masasi mkoa wa Mtwara, limewaka moto na kuteketea mchana huu wa leo Oktoba 19, 2018 maeneo ya Nangurukulu wilaya ya Kilwa mkoani Lindi.
Kwa taarifa za awali kutoka eneo la ajali hiyo ya moto, bado chanzo chake hakijafahamika mara moja huku kukiwa hakuna madhara kwa abiria waliokuwa wakisafiri na basi hilo.View attachment 903255View attachment 903256
Kwa taarifa za awali kutoka eneo la ajali hiyo ya moto, bado chanzo chake hakijafahamika mara moja huku kukiwa hakuna madhara kwa abiria waliokuwa wakisafiri na basi hilo.View attachment 903255View attachment 903256