Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Basi linalomilikiwa na Kampuni ya Arusha Express ambalo linalofanya safari zake kati ya Arusha kwenda Mbeya limepata ajali leo Januari 12, 2019 kwa kugongana na gari ndogo maeneo ya Nyang'oro njia ya Dodoma kwenda Iringa.
Taarifa za awali zinasema kuwa kuna vifo na majeruhi kadhaa ambao idadi yake bado tunafuatilia pamoja na kukukujuza zaidi chanzo hasa cha ajali hii..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa za awali zinasema kuwa kuna vifo na majeruhi kadhaa ambao idadi yake bado tunafuatilia pamoja na kukukujuza zaidi chanzo hasa cha ajali hii..!
Sent using Jamii Forums mobile app