Ajali barabarani yasababisha mtu kuuawa kwa kuchomwa kisu !

A cheap sensationalist headline,

Huna akili timamu wewe,polepole mirembe panakwita.

MKOMBOZI WASAMEHE HAWA HAWAJUI WALITENDALO

WAOMBEE KWA MOLA
 
MWanakijiji ,

Jitihadi kumtafuta unaweza pata nafasi ya kumuona...atkuwa National Press Center siku ya kesho,Pale ni rahisi sababu atapata nafsai ya kuulizwa swali,unaweza jitokeza na kuanza kuuliza swali kwa lugha ya kiswahili..

Muulize yale maswali yote ukiyonayo...au tukusanye maswali??
 
Kwa fikra zangu nathan mtuhumiwa atakapokamatwa achukuliwe kama mtuhumiwa bila kujari rangi yake, dini yake wala kabila lake kwa kuwa serikari yetu haina dini wala kabila. Pili ninatia shaka na mental status ya mtuhumiwa. Uamuzi wa kuchoma kisu ni sawa na uamuzi wa katika mazingira ya ugomvi na konda si wa kawaida. This man might somehow be mentally unhealthy, either due to narcotics use or naturally as an inborn error.
 
Hakuna elements za kibaguzi alotumia mkombosi

Mtu huyo ni mwarabu,liko wazi kabisa kuwa si wetu huyu,ni mwarabu,au Tanganyika imegeuka kuwa ya waarabu?
 
Acheni uchizi,haikutokea ajali pale,ni mwarabu alimchoma mbongo kisu hadi kufa.

Wewe unaebadili heading,sijui una matatizo gani?
 
Waarabu nao ni watanzania pia kwasababu walizaliwa hapahapa, hawindi pia, pamoja na kwamba wazazi wao zamani walitokea bara lingine au nchi nyingine, lakini ni watazania, hawana kwa kwenda, hapa ndo kwao. vivyohivyo, hata hapa tz, kuna makabila mengi tu ambao ni wahamiaji, kuna kabila la wangoni ambao walitoka south africa, wapangwa vile vile walitoka south africa. si unakumbuka mfecane war?, pia kuna watz wengi sana hapa ambao walitokeaga congo, mozambique,malawi na zambia. hii Tanzania ukichunguza, ni ya watu wachache sana, hawawezi kujaa hata mkoa mmoja kama wakikusanyika, wengi wetu ni wakuhamia tu, mababu zetu walihamia. pamoja na kwamba sisi ni weusi, tusijifanye kuwa ni wamiliki pekee wa hii ardhi ambayo Mungu aliiumba kwa watu wote. mimi ni mweusi, ila sioni kama ni busara kuongea kama waarabu sio wakwetu. Upendo ni muhimu sana ktk jamii yetu, tudumishe upendo tuondoe ubaguzi. kuna waswahili wengi tu wanawavamia na kuwaua waarabu hapa bongo, kwa ujambazi au hata ugomvi, lakini hilo huwa haliandikwi au kuchukuliwa kama ni kubwa. racism is not good. Tanzania sio nchi teule ambayo watu walipewa na Mungu kama nchi zingine zilivyo, hata hii mipaka iliwekwa na watu tu toka ulaya, zamani haikuwapo Tanzania hii. racism is sin, because it lucks love in it.
 
Back
Top Bottom