The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,137
Kazi Iendelee..
TRA wanakusudia kuanza kukusanya kodi kutoka kwa wamiliki wa nyumba za kupanga za biashara na madalali ila cha ajabu watu wanataka maendeleo ya kila aina ila hawataki kulipa kodi.
Hao hao huwa wanasema TRA haikusanyi kodi, hao hao hawataki kudai risiti wakifanya manunuzi na hao hao ndio husema TRA haijabuni vyanzo vipya vya mapato na kupanua wigo wa mapato.
Sijui nani aliwaambia kuwa maendeleo ni jambo la lelemama na mnategemea pesa itoke wapi?
Hakuna maendeleo bila pesa na pesa zinatoka kwetu tofauti na hapo sijui tunategemea nini.
TRA msisikilize upuuzi, kazeni hivyo hivyo pesa ipatikane nchi ipate maendeleo. Huko kwingine hadi silaha za moto hutumika kudai Kodi.👇
TRA wanakusudia kuanza kukusanya kodi kutoka kwa wamiliki wa nyumba za kupanga za biashara na madalali ila cha ajabu watu wanataka maendeleo ya kila aina ila hawataki kulipa kodi.
Hao hao huwa wanasema TRA haikusanyi kodi, hao hao hawataki kudai risiti wakifanya manunuzi na hao hao ndio husema TRA haijabuni vyanzo vipya vya mapato na kupanua wigo wa mapato.
Sijui nani aliwaambia kuwa maendeleo ni jambo la lelemama na mnategemea pesa itoke wapi?
Hakuna maendeleo bila pesa na pesa zinatoka kwetu tofauti na hapo sijui tunategemea nini.
TRA msisikilize upuuzi, kazeni hivyo hivyo pesa ipatikane nchi ipate maendeleo. Huko kwingine hadi silaha za moto hutumika kudai Kodi.👇