Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri wenzio watakupa mfano.ujadiliane na nani sasa?
Uwe unasoma kwa utulivu na kuelewa mada kijana. Acha kuvamia mada kwa mihemko. Hakuna ugomvi hapa. Na hakuna aliyekulazimisha ununue bando kwa ajili ya kusurf mitandao. Unajipa stress bure tu kwa kutukana. Maisha yenyewe mafupi. Hivyo ukiona unakerwa na mada za wenzio pita mbali.Kwaio jukwaa la uchumi wanaandika wachumi tu? Michezo? Siasa? Lugha? Hilo ni jukwaa linalohusu mambo ya Kenya na sio wakenya. Puuzi moja wewe!!!
Wewe nimpuuzi coz unataka kututafakarisha upuuzi.Uwe unasoma kwa utulivu na kuelewa mada kijana. Acha kuvamia mada kwa mihemko. Hakuna ugomvi hapa. Na hakuna aliyekulazimisha ununue bando kwa ajili ya kusurf mitandao. Unajipa stress bure tu kwa kutukana. Maisha yenyewe mafupi. Hivyo ukiona unakerwa na mada za wenzio pita mbali.
Baki na matusi yako, wenye busara wamechangia na wataendelea kuchangia.Wewe nimpuuzi coz unataka kututafakarisha upuuzi.
Uchumi was Kenya upo kwa selikal wananchi wake ni masikini sanabro,, umeona mbali sana. kisha wengi wa Wabongo wanaomiminika humu jamvini, hawajielewi. hivi unajua kua mti wenye matunda ndio hupurwa mawe sana??? Wabongo wengi sana humu ni vilaza na pia kuna wale wako na mapenzi na Kenya. Wanatamani kuwa kama Kenya au Wakenya lakini bahati yao mbaya sana. Kenya iko mbali sana kimaendeleo,,, levo tofauti kabisa, kama Europe vile... nawapa pole sana. Kenya na Tanzania ni kama mbingu na jehanam.
wengine wanakuja kujifunza lugha ya malkia kisha wakitinga mitaani, wanajisifia kwa wenzao eti, "unajua leo nimechat na Wakenya?".
yaani Wabongo mie huniacha hoi kusema lile la ukweli. mapimbi kabisa
Haha! naona wewe umeamua ku-deal na joto la jiwe tu...Wakenya Ni wachache humu sawa na Uganda news and politics pande ile nyingine. Utamjua joto la jiwe