Kwa wasiofahamu na wanaofahamu, iliyokuwa uchumi supermarket ilifunga maduka yake yote mwaka jana na kisha kupotea na pesa za wasambazaji wa bidhaa (suppliers).
Hadi leo hii zaid ya mwaka makampuni makubwa na wajasiria mali wadogo hawajalipwa!!! HAKUNA DALILI YOYOTE.
Lakini bado tunawasifu wakenya eti ni good investors kweli????!!! This is a shame
Hadi leo hii zaid ya mwaka makampuni makubwa na wajasiria mali wadogo hawajalipwa!!! HAKUNA DALILI YOYOTE.
Lakini bado tunawasifu wakenya eti ni good investors kweli????!!! This is a shame