Ajabu duniani: Makinda apata zawadi ya juu ya kupambana na rushwa

politiki

JF-Expert Member
Sep 2, 2010
2,376
1,508
Kwa mujibu wa gazeti la Nipashe Mhe. Anna Makinda ametunukiwa tuzo ya APNAC kwa juhudi zake za kupambana na rushwa. nilisoma makala yote nitafute hizo juhudi au record ya Mhe. ya kupambana na rushwa sikuiona sasa labda nisaidiwe na Great thinkers kuhusu record ya Mhe. kupambana na rushwa maana niliyokuwa nayo mimi ni ile ya mrema na kafulila ambao waliwahi kumpelekea mafaili ya ushahidi wa wabunge wala rushwa na ameyakalia hadi leo hivi kwahiyo wana ccm na yeyote mwenye record ya kupambana na rushwa tafadhali tusaidiane.
 
Kwa mujibu wa gazeti la Nipashe Mhe. Anna Makinda ametunukiwa tuzo ya APNAC kwa juhudi zake za kupambana na rushwa. nilisoma makala yote nitafute hizo juhudi au record ya Mhe. ya kupambana na rushwa sikuiona sasa labda nisaidiwe na Great thinkers kuhusu record ya Mhe. kupambana na rushwa maana niliyokuwa nayo mimi ni ile ya mrema na kafulila ambao waliwahi kumpelekea mafaili ya ushahidi wa wabunge wala rushwa na ameyakalia hadi leo hivi kwahiyo wana ccm na yeyote mwenye record ya kupambana na rushwa tafadhali tusaidiane.

Mkuu kwani huoni hii ni awamu ya wanafiki, wavivu na mafisadi kuitwa mashujaa wa Taifa. Ni awamu ya kila mizaha. Mimi mwanzoni niliposikia Kikwete anaitwa Dr nilidhani ni mzaha!
 
Chini ya utawala wa CCM lolote laweza kutokea. Tena bora ya Makinda kupambana na rushwa kuliko ya Said Mwema kupata utumishi uliotukuka
 
Kwa mujibu wa gazeti la Nipashe Mhe. Anna Makinda ametunukiwa tuzo ya APNAC kwa juhudi zake za kupambana na rushwa. nilisoma makala yote nitafute hizo juhudi au record ya Mhe. ya kupambana na rushwa sikuiona sasa labda nisaidiwe na Great thinkers kuhusu record ya Mhe. kupambana na rushwa maana niliyokuwa nayo mimi ni ile ya mrema na kafulila ambao waliwahi kumpelekea mafaili ya ushahidi wa wabunge wala rushwa na ameyakalia hadi leo hivi kwahiyo wana ccm na yeyote mwenye record ya kupambana na rushwa tafadhali tusaidiane.
Mkubwa nahisi walioifanyia Editing hiyo habari kwenye hilo gazeti nahisi bado wako mwezi wa 4 sikukuu ya wajinga! Mzee wetu Mengi naye umri umeshamtupa msameheni jamani!
 
Hizi ni zile zama za kuangalia nani mjinga kuliko wote, tumpigie makofi na kumpa pongezi za ujinga wake
 
Hivi hawa jamaa Gines book of recod hawayaoni haya yanayotokea tz wayaingize kwenye recod zao?
 
Back
Top Bottom