Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,300
Wewe ni mpumbavu wa kutupwa, tena hufai kwa lolote jema, Kwani ulifanya jitihada au juhudi gani kuzaliwa Zanziba mpaka ujivunie kuwa mzanzibari? wacha umakalio wako wewe kenge usiye thamani!Yakhe, ndugu zangu wa hapa JF na CHADEMA kwa ujumla nyinyi sio wa mwanzo kujenga chuki dhidi ya Maalim Seif na pia Wazanzibari, wamepita wengi tu zaidi yenu ila wameshindwa!! Mfupa uliomshinda fisi kuula nyinyi munajaribu kutaka kuumeza mzima mzima! Hatari hiyo musije kujaribu. Am proud to be Zanzibari, Zanzibar Daimaaaaaa Mbele.