Chuma Chakavu
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,523
- 653
majeshi yale yamvunja katiba,
maalim seif sharif hamad ndio amevunja katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kukubali wadhifa ambao haupo na wala hautambuliki ndani ya katiba ya jamhuri na kwa kuwa yale majeshi ni ya jamhuri ya muungano wa Tanzania hivyo hayamtambui, na wadhifa wake hauko ndani ya orodha ya kustahili kupewa heshima hiyo na majeshi hayo! hata huyo balozi seif ali idi hakustahili kupewa heshima hiyo.