Mkuu Behaviourist ndo hali ya kila mitaa kwa leo
Kwa sasa hata sehem za watembea kwa miguu hakuna
Unapishana na gari na mkokoteni
Hata wale ambao hawakuwa wafanyabiashara jndogo ndogo leo wamefungua biashara ni kiasi cha kununua fungu nne za maembe unatandika gunia chini unauza
Ukiwa kiongozi unaweza ukageuka kichaa kwa kelele za raia wako usipoweza kujisimamia mwenyewe.
Ukifanya hivi wao watasema bora hivi ili mradi kila mtu anajua.
Ila hii issue ya machinga mkuu ameiamua kisiasa zaidi kwa sababu ameongea kabisa kuwa wale ni wapiga kura wake.
Ila jamaa hawana ustaarabu kabisa katika ufanyaji na upangaji wa bidhaa zao huko masokoni. Serikali bora iwapatie maeneo rasmi kwa ajili ya biashara zao ila hayo maeneo yasiwe mbali sana na vituo vya daladala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.