madeinmusoma
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 322
- 385
1.ngono ni bure lakini mapenzi biashara
2.mabinti huumia zaidi wakipoteza simu kuliko bikra
3.mtu akiwa mwaminifu anaonekana dhaifu na mshamba kama mimi.
4.mabafu yamegeuzwa studio za kupigia picha za utupu
5.ukiwa na samsung galaxy unaheshimika zaidi ya mwenye degree. TANZANIA tunakwenda wapi cjui....🏃🏃
2.mabinti huumia zaidi wakipoteza simu kuliko bikra
3.mtu akiwa mwaminifu anaonekana dhaifu na mshamba kama mimi.
4.mabafu yamegeuzwa studio za kupigia picha za utupu
5.ukiwa na samsung galaxy unaheshimika zaidi ya mwenye degree. TANZANIA tunakwenda wapi cjui....🏃🏃